Uwiano wa Kijinsi
Uwiano wa idadi ya watu kijinsi kwa Tanzania na Tanzania Bara ulikuwa wanaume 95 kwa kila wanawake 100,
wakati kwa upande wa Zanzibar, uwiano ulikuwa 94. Kwa mikoamingi uwiano huo ni kati ya wanaume 92 na 95 kwa kila wanawake 100(uk.9)
source:http://www.nbs.go.tz/sensa/PDF/2012 PHC POPULAR VERSION- swahili.pdf#page=4&zoom=auto,0,683
Dunia gani? Hii hii yetu au exoplanet?
Idadi ya watu wote duniani ni bilioni ngapi?
Jamani wadau hivi ni kweli
wamanume tumekuwa wachache kuliko wanawake kiasi kwamba wanawake
wanakosa watu wa kuwa nao?
Hujatoa gays hapo, bado Kuna walioamua kutooa wajivinjari na wake WA wenzao!
hapo bado hizo takwimu hazijustfy kushare wenzi!
Jamani wadau hivi ni kweli wamanume tumekuwa wachache kuliko wanawake kiasi kwamba wanawake wanakosa watu wa kuwa nao?
hiyo takwimu ya wapi dada...labda ulimwenguniKwa takwimu ya haraka haraka niliyofanya........mpaka sasa kuna wanaume bil 9. 3 duniani kote.........
Labda kwa kipeuoDunia hii hii.......
Kwa takwimu ya haraka haraka niliyofanya........mpaka sasa kuna wanaume bil 9. 3 duniani kote.........
Huh? Takwimu inafanywaje vile....?
Hujui kufanya takwimu........?
Sijui aisee.
Ila najua kufanya utafiti/ uchunguzi......
Sasa takwimu (z)inafanywaje?
Hahahaha kama huna pochi ndefu wanaweza wasikuhesabu kama mwanaume
wanaume wanaojitambua na kujielewa.. wenye mipango mizuri ya maisha na hofu ya mungu wapo wachache sana. ndio maana tunakosa wa kutuoa maana wengi hamjielewi.
Dunia gani? Hii hii yetu au exoplanet?
Idadi ya watu wote duniani ni bilioni ngapi?
wanaume wako wachache ila wavulana wako wengi