Dunia hii hii.......
duh!nitarudi!
Hahahahaaaaa Yes indeed!
wanaume wanaojitambua na kujielewa.. wenye mipango mizuri ya maisha na hofu ya mungu wapo wachache sana. ndio maana tunakosa wa kutuoa maana wengi hamjielewi.
wanaume kama nyie msiojielewa ndio hatuwataki. kuandika tu huwezi utaweza kutunza mke wewe?Tatizo sio kujielewa,tatizo ni jinsi mlivo kuwa narabia mbovu sana siku hizi,hakuna mdada wa maana wa kumuweka ndan,kila mmoja yupo kimaslahi zaid,mara ohh,me awe na kaz nzur,pesa,nyumba,gar mara handsome,unakuta mdada kazaliwa maisha ya kawaida lakini anataka aishi kama movi anazoshinda anaangalia,.kila disxo analijua fashen zote zake likija swala la kuolwwa anabagua.ndo mana na cc rumwsghtuka na ndo mana wengi wenu manazeekea nyumban siku hiz,wanaume wanasepa kuoa vijijin. Ni mara kumi ukaoe kikini aje mjini kuliko kuoa wa mjini aliyekubuhu
wanaume kama nyie msiojielewa ndio hatuwataki. kuandika tu huwezi utaweza kutunza mke wewe?
Swala sio kuandika,maana inawezekana hujui kama natumia vidole na sio kosa lako,unachotakiwa kuja ni jinsi mnavokera.kama unadhan ulizaliwa ili uolewe bila kujishuvhulisha basi we endelea kutafuta unaemtaka kama hujazeeka uko kwenu.afu usiseme hatuwataki sema siwataki khaaaa,.inaonekana we ni walewale aina ile.muhimu tafuta kazi ya kufanya sio ka kitu umtegemeee mqanaume ndomana mnadhalilishwa kila siku.
hahahahahaah!!!! wewe kweli hujielewi jamani, si ukubali tu wanaume wanaojielewa wapo wachache. sasa unafikiri kuna watu jf wanatumia pua kuandika au? yaani wanaume kama wewe hata ulete mahari milioni mia sitokubali.
We subil mahar tu,miaka inasonga kumbe sijakosea niliposema wr ni kama walewale.tatizo hujui hata ulichoandika humu n nn!,sio kwamba wanaume wanaojielewa wapo wachche hapana,wanawake wa kuoa ndo hakuna,tatizo liko kwenu nyie sio kwetusisi.mtakaa sana kwa mama na baba msipobadilika
kwa mtaji huo utatafuta sana mwanamke wa kuoa na usimpate.
kwa mtaji huo utatafuta sana mwanamke wa kuoa na usimpate.
Angalia usijedhan unamkosi ndo mana hupati mume,kumbe lah,
hivi upo darasa la ngapi?
Jamani wadau hivi ni kweli wamanume tumekuwa wachache kuliko wanawake kiasi kwamba wanawake wanakosa watu wa kuwa nao?
ukiwa na kamshahara cha mawazo utajuta. utaishia kupata mabar maids.
We subil mahar tu,miaka inasonga kumbe sijakosea niliposema wr ni kama walewale.tatizo hujui hata ulichoandika humu n nn!,sio kwamba wanaume wanaojielewa wapo wachche hapana,wanawake wa kuoa ndo hakuna,tatizo liko kwenu nyie sio kwetusisi.mtakaa sana kwa mama na baba msipobadilika