Wanaume wachafu msiutumie uchafu wenu kama ndio uanaume

Wanaume wachafu msiutumie uchafu wenu kama ndio uanaume

Kumekuwa na tabia za wanaume hasa hawa wa singeli kuutumia uchafu wao kama ndio uanaume

Unakuta mwanaume kakomaa matako yamepauka yanataka kuwa na upele upele kabisa kisa kutokupaka mafuta, harafu utasikia anasema "mwanaume hapaki mafuta matako"

Imekuwa hivyo hivyo kwa hawa wanaotembea kwa miguu wakiwa wamevaa sendo unakuta miguu imechakaa vumbu harafu utasikia "mwanaume unavaaje soksi"?


Nani aliwaambia wanaume msiwe mnanyoa nywele za kwapani?


Jamani eeeh! Usafi hauchagui mwanaume wala mwanamke usafi ni kwa wote
Wewe unatutafuta mwanaume anapakaje mafuta
 
Mafuta lotion tupake yasiyo na harufu ya kukera kama nivea, Amara, Rinju, palmars, maisha mteremko hata ukilala na mupenzi anatamani kukukumbatia
Mkuu hizo zooote unataka iweje? Waachie akina Sofiii.
Mwanume ugumu
 
Shaver za Dorco buku mbili jero pis tano, dawa ya meno closeup au sensodyne, nivea dry fresh for men Deodorant, taulo zako mbili nywele kama umefuga unanunua shampoo ya grace buku tu, unakua unaziosha unatana zinakaa kwa mpangilio, ndevu unanyoa unaacha uchebe kidogo, jinzi usivae ya kubana sana iwe one colour wala isiwe ya kuchanika magotini, na formsix yako au tishirt round, unaswaki asubuhi na usiku wakati wa kulala, unajifahidi unanunua mouthwash ya listerin buku nane, ukinyoa unayoa kwapani na vuzi la chini, ukioga unapitisha sabuni kwenye tundu za pua , maana hua zinanuka, then pitisha sabuni katikati ya vidole vya miguu na usivae viatu bila miguu kukauka maana itanuka tu kausha vizuri na kitambaa ndio weka soks yako maridadi vaa, boksa walau siku mbili unafua, usiavae boksa za mpira tafuta cotton hata za yarison, deodorant unapaka kwapani, unakua na body spray yako ya blue for men huna haja ya perfume kama uwezo ndio huo, saa yako mkononi tayari uko smart
Yani umemaliza with low budget kabisa umaridadi hautaji gharama kubwa
 
Shaver za Dorco buku mbili jero pis tano, dawa ya meno closeup au sensodyne, nivea dry fresh for men Deodorant, taulo zako mbili nywele kama umefuga unanunua shampoo ya grace buku tu, unakua unaziosha unatana zinakaa kwa mpangilio, ndevu unanyoa unaacha uchebe kidogo, jinzi usivae ya kubana sana iwe one colour wala isiwe ya kuchanika magotini, na formsix yako au tishirt round, unaswaki asubuhi na usiku wakati wa kulala, unajifahidi unanunua mouthwash ya listerin buku nane, ukinyoa unayoa kwapani na vuzi la chini, ukioga unapitisha sabuni kwenye tundu za pua , maana hua zinanuka, then pitisha sabuni katikati ya vidole vya miguu na usivae viatu bila miguu kukauka maana itanuka tu kausha vizuri na kitambaa ndio weka soks yako maridadi vaa, boksa walau siku mbili unafua, usiavae boksa za mpira tafuta cotton hata za yarison, deodorant unapaka kwapani, unakua na body spray yako ya blue for men huna haja ya perfume kama uwezo ndio huo, saa yako mkononi tayari uko smart
Bora unisaidie kuwafikishia ujumbe
 
Mimi ni mwanaume ,nakubali kabisa dada tulio wengi wetu ni wachafu na tunanukaaaa.Kuns jamaangu mmoja yani akija home,pale alipokaa akiondoka lazima nipukute nipige na airfresh.Jamani wanaume wenzangu tuweni wasafi;
Oga
Fua boxer
Kuwa na boxers 4-10
Ivae asubuhi, jioni fua vaa ingine
Nyoa wizarani huko paka limao
Kuwa na lotion ya kuupendezesha ngozi.
n.k


Mimi kwakweli ni msafi mpaka mademu huwa wanajishtukia.Demu mchafumchafu atanikimbia mwenyewe.
 
Kumekuwa na tabia za wanaume hasa hawa wa singeli kuutumia uchafu wao kama ndio uanaume

Unakuta mwanaume kakomaa matako yamepauka yanataka kuwa na upele upele kabisa kisa kutokupaka mafuta, harafu utasikia anasema "mwanaume hapaki mafuta matako"

Imekuwa hivyo hivyo kwa hawa wanaotembea kwa miguu wakiwa wamevaa sendo unakuta miguu imechakaa vumbu harafu utasikia "mwanaume unavaaje soksi"?


Nani aliwaambia wanaume msiwe mnanyoa nywele za kwapani?


Jamani eeeh! Usafi hauchagui mwanaume wala mwanamke usafi ni kwa wote
Dada umepatikana hapo!
 
Kwa tafit isiyorasm,wanaume hawajawah kupaka mafuta kweny manyungurusi yao tangu waache kuogeshwa na eidha mama au HG
 
Kumekuwa na tabia za wanaume hasa hawa wa singeli kuutumia uchafu wao kama ndio uanaume

Unakuta mwanaume kakomaa matako yamepauka yanataka kuwa na upele upele kabisa kisa kutokupaka mafuta, harafu utasikia anasema "mwanaume hapaki mafuta matako"

Imekuwa hivyo hivyo kwa hawa wanaotembea kwa miguu wakiwa wamevaa sendo unakuta miguu imechakaa vumbu harafu utasikia "mwanaume unavaaje soksi"?


Nani aliwaambia wanaume msiwe mnanyoa nywele za kwapani?


Jamani eeeh! Usafi hauchagui mwanaume wala mwanamke usafi ni kwa wote
Acha kuchungulia makalio ya wengine
 
Back
Top Bottom