la Jeneral
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 392
- 57
midada wana tabia ya kusachi pochi na kujitwalia vijisentsn kimya kimya ukiuliza wanadai labda umepoteza bar,kumbe wameshachakachua bora kuacha kwenye gari kama unalo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo wanawake hawajui kama kuna kesho wanataka kutumia pesa yote leo kwa matumizi yasiyo na tija. Tunaficha hizo pesa ili zitumike kesho. Mwanamke anaweza taka kutumia pesa zote leo na kesho akataka pesa nyingine
Kwa nini msianze na kuwapa matumizi ya wiki ili apange mwenyewe? Mimi kwa kweli hata mie sipendi biashara ya kuombana hela kila asubuhi (kama uwezo wa wiki upo). Mambo ya kukimbizana khanga zinatudondoka tunaomba hela za mboga jamani? Na kwa nini wakati mwingi muwe na mawazo kuwa akina mama wanaongeza matumizi wakiona uzito wa hizo wallet? Mimi ninavyojua wakati mwingi akina mama wanapanga matumizi kutokana na pesa uliyompa, kama umebana ukaacha elfu moja, basi ataweka maharage pekee. Lakini ukiacha elfu moja si utakuta na mboga ya majani angalau na tunda pembeni? Mmeshawahi kurudi nyumbani mkakuta hakuna chakula kwa sababu pesa uliyoacha ni kidogo? Au utakuta chakula kutokana na pesa iliyoachwa? Na mara nyingi mnaacha pesa ya bajeti pasua kichwa, na mbishe. Kisa ukiacha nyingi atabana ya saloon. Na ya saloon je umemuachia? Jamani familia is a package!
wewe unaionekana utakuwa mjinga fulani hivi....zuzu hivi....unapoteza muda? ndio maana unakuja na thread za kishwaini asubuhi asubuhi...shame on u....
.....na mtakuwa watumwa wa wakenya na wahindi mpaka muote sugu makalioni....pambafu kabisa.....
Mmmhh ndoa hizi, wakati mwingine sipati mzuka kabisa wakuolewa. Bora mapenzi tu ya urafiki. hao wanaue ni wachoyo na pengine wanawakuwapa huko nje
Hebu pata picha hii.....
Umetoka kazini umechoka ni kati kati ya mwezi una kiasi fulani cha hela kidogo tu cha kukuwezesha kuishi mpaka utakapo pata hela ya kutosha.Huna hela nyingine na wala si kwamba una matumizi ya ulevi etc.
Unaamka asubuhi unakwenda kazini mara unaamua kununua mahitaji ya nyumbani na kucheki unakuta kuna hela ndogo sana, unadhani umeibiwa, kumpigia mama anakuambia alikuta hela amechukuwa na kuwatumia baba na mama, au ametumia tu kwa maytumizi yake yeye ambayo hakukuambia. Mara kusuka, saloon, nilichukua nguo, na mengine mengi tu...
Sasa unafikiria itakuwaje , mtaishije mpaka utakapo pata hizo hela unazotegema??
Je nani anataka pressure za namna hii....
Lakini hapa kama ungekuwa umeficha wallet yako ... ahaaa wala hizi pressure za kujitakia usigepata na usawa wenyewe huu.
Mimi naona lengo kwa kina baba wengi kufanya hivi sio baya, ni katika kuweza ku control matumizi tu!
wewe unaionekana utakuwa mjinga fulani hivi....zuzu hivi....unapoteza muda? ndio maana unakuja na thread za kishwaini asubuhi asubuhi...shame on u....
.....na mtakuwa watumwa wa wakenya na wahindi mpaka muote sugu makalioni....pambafu kabisa.....
Ndoa za siku hizi zina mambo sana. Wanawake wamekuwa hawatabiriki kabisa. Anafanya kazi nawe unafanya kazi ila hela yake huioni. Utasikia tu hana hela baadae unastuka kumbe anamjengea mama yake kwao na nyie hata kiwanja hamna
Natmani nimpate mume wa kuficha pesa zake alafu, nikimchabo tu!! Imekula kwake na lazima ajute kwani mie ndio nitakua nampa kama ni ya matumizi au nauli. Au simpi kabisaaaa!!!! kwa uzembe wake.Ila nitamuambia nimeokota wallet so usinipe pesa ya matumizi mpaka nitakapo kuambia.:clap2:
Hebu pata picha hii.....
Umetoka kazini umechoka ni kati kati ya mwezi una kiasi fulani cha hela kidogo tu cha kukuwezesha kuishi mpaka utakapo pata hela ya kutosha.Huna hela nyingine na wala si kwamba una matumizi ya ulevi etc.
Unaamka asubuhi unakwenda kazini mara unaamua kununua mahitaji ya nyumbani na kucheki unakuta kuna hela ndogo sana, unadhani umeibiwa, kumpigia mama anakuambia alikuta hela amechukuwa na kuwatumia baba na mama, au ametumia tu kwa maytumizi yake yeye ambayo hakukuambia. Mara kusuka, saloon, nilichukua nguo, na mengine mengi tu...
Sasa unafikiria itakuwaje , mtaishije mpaka utakapo pata hizo hela unazotegema??
Je nani anataka pressure za namna hii....
Lakini hapa kama ungekuwa umeficha wallet yako ... ahaaa wala hizi pressure za kujitakia usigepata na usawa wenyewe huu.
Mimi naona lengo kwa kina baba wengi kufanya hivi sio baya, ni katika kuweza ku control matumizi tu!