Wanaume 'wagumu' ndio wenye mapenzi ya kweli

Wanaume 'wagumu' ndio wenye mapenzi ya kweli

queen of the jungle

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2017
Posts
228
Reaction score
430
Nimegundua wanaume wenye sura ya kawaida na uvaaji wa stara kama vile suruali na mkanda na Tai wanapenda kweli na wana maamuzi ya kiume ni wa kweli hawana longolongo.

Tofauti na hawa tunaoshea nao vipodozi ni shiida kwa kweli huyu hata akija adui anaweza kujificha hata uvunguni.
 
Shemeji una utani...nashindaga kibaruani kwangu, nilipojiajiri mwenyewe [emoji56] [emoji56] [emoji56] [emoji56]
hahahahahahha shem bhana, nimeuliza tu kwani kabla hujatoka home hushindi kwenye kioo wewe??

niambie bhana sitakusema popote
 
wewe hata hujiangalii shem au wifi ndo kazi yake.

duhh haya mapenzi mbona mazito???:?
Kujiangalia muda huo nitolee wapi.... Majukumu mengi ila navaa kistaha naenda kazini fresh..Muonekano pia nauweka sawa ila sio kwa kushinda kwenye kioo na kushea vipodozi na wifi yako
 
Back
Top Bottom