queen of the jungle
JF-Expert Member
- Mar 17, 2017
- 228
- 430
wewe unashindaga wapi? nauliza tu nipate tofautiNgoja wapaka poda na wanaoshinda kwenye vioo waje
Shemeji una utani...nashindaga kibaruani kwangu, nilipojiajiri mwenyewe [emoji56] [emoji56] [emoji56] [emoji56]wewe unashindaga wapi? nauliza tu nipate tofauti
hahahahahahha shem bhana, nimeuliza tu kwani kabla hujatoka home hushindi kwenye kioo wewe??Shemeji una utani...nashindaga kibaruani kwangu, nilipojiajiri mwenyewe [emoji56] [emoji56] [emoji56] [emoji56]
Shem mimi sishei kipodozi/kioo na wifi yako kabisahahahahahahha shem bhana, nimeuliza tu kwani kabla hujatoka home hushindi kwenye kioo wewe??
niambie bhana sitakusema popote
wewe hata hujiangalii shem au wifi ndo kazi yake.Shem mimi sishei kipodozi/kioo na wifi yako kabisa
Kujiangalia muda huo nitolee wapi.... Majukumu mengi ila navaa kistaha naenda kazini fresh..Muonekano pia nauweka sawa ila sio kwa kushinda kwenye kioo na kushea vipodozi na wifi yakowewe hata hujiangalii shem au wifi ndo kazi yake.
duhh haya mapenzi mbona mazito???:?
Nakutakia Alhamisi Kuu Njema
Subiri kidogo Yesu afufuke halafu nitaletaππππShemeji leta mtazamo wako na wewe tuujue.
Subiri kidogo Yesu afufuke halafu nitaletaππππ