Wanaume 'wagumu' ndio wenye mapenzi ya kweli

hahaha maumivu yakizidi muone daktari
mimi tangu kitambo nilishaona wagumu ndo tutaendana nao na kuelewana, hawa mablazamen tutasumbuana na kushindwana tu mwisho.
 
wewe sio mke wangu kweli umejificha humu? naona kama unanisema mimi...maana leo umenitumia msg ukinipongeza kwa aniversally yetu ya 14yrs nawe..
 
Sema tu umenasa kwa mzee mstaafu na pesa za msimu unamuona anafaa,ngoja zimuishie kwa kununua Rav4 na viwanja viwili.utatufata tu tena
 
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…