Wanaume Wajanja Tumeshashtuka Kitaambo..!

STUNTER

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
13,076
Reaction score
17,247
Binti:Mambo Stunter
STUNTER: poa
Binti: Ah mpenzi ninashida na sh:50,000/=
STUNTER: Usijali ntakupa tukutane KEMPISKI HOTEL
tupate MSOSI uje kuchukua Mzigo wako
Binti: mh mh mh wapi me siwezi kutoka MAMA kanikataza kutoka nje
STUNTER: Sa ntakupaje hizo hela???
Binti: Ntumie kwa TIGOPESA
STUNTER: PUMBAV!! kwahiyo kwenda kwa MAWAKALA
wa TIGOPESA Mama yako anakuruhusu.
 
tigopesa ni hapo tu jirani stunter!hawakosi majibu hawa wadada.
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] umetisha!
 
Nimestuka leo
STUNTER wewe ni mbahili
Tena ubahili wako sio wa mchezo mchezo
 
Hahahahaahahhahaa na mama yake anapenda tigo pesa
 
Mkuu STUNTER hizi thread zako huwa nazielewa yani kama in ngumu kumeza vilee
 
Hawakawii kusema nipo saloon niongezee 50,000/=
 
Nilishasema na nasema tena, demu akikupiga kizinga mwambie aje achukulie lodge
 
Ukishagundua hivyo.. unakwepa .. unafunga vioo. No need ya kuangaishana na watu kama hao.
 
Teh teh teh
 
Yalinikuta makubwa sana.Nikitaka mzigo naambiwa Niko kwenye sikuzangu ila ninashida pesa poa muda unapita, tena anasema nimesafiri.sawa ;tens ninashida yanauli kumbe kwake Mimi mtaji.bwana nishidaaaaaaaaa!!!
 
Yalinikuta makubwa sana.Nikitaka mzigo naambiwa Niko kwenye sikuzangu ila ninashida pesa poa muda unapita, tena anasema nimesafiri.sawa ;tens ninashida yanauli kumbe kwake Mimi mtaji.bwana nishidaaaaaaaaa!!!
Hawa bila kuwa kauzu aisee utabaki mifupa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…