Wanaume Wajanja Tumeshashtuka Kitaambo..!

Wanaume Wajanja Tumeshashtuka Kitaambo..!

Yalinikuta makubwa sana.Nikitaka mzigo naambiwa Niko kwenye sikuzangu ila ninashida pesa poa muda unapita, tena anasema nimesafiri.sawa ;tens ninashida yanauli kumbe kwake Mimi mtaji.bwana nishidaaaaaaaaa!!!
Pole sana kama huna maneno matamu utaishia kuchunwa tu.
 
Hahahahaha we acha tu bado wapo wanopigwa mizinga ya hivyo
 
Ohooo wapiga vizinga vya saloon wamuulize demu alieniomba hela ya sloon,
Nilimpeleka kwenye saloon ya kile kikofia kumbe ni cja kunyolea vipala magereza makubwa, ile anashtuka kipala kama cha nakaya, nikalipa buku tukaagana amenuna
 
Binti:Mambo Stunter
STUNTER: poa
Binti: Ah mpenzi ninashida na sh:50,000/=
STUNTER: Usijali ntakupa tukutane KEMPISKI HOTEL
tupate MSOSI uje kuchukua Mzigo wako
Binti: mh mh mh wapi me siwezi kutoka MAMA kanikataza kutoka nje
STUNTER: Sa ntakupaje hizo hela???
Binti: Ntumie kwa TIGOPESA
STUNTER: PUMBAV!! kwahiyo kwenda kwa MAWAKALA
wa TIGOPESA Mama yako anakuruhusu.
hapo sasa
 
Ohooo wapiga vizinga vya saloon wamuulize demu alieniomba hela ya sloon,
Nilimpeleka kwenye saloon ya kile kikofia kumbe ni cja kunyolea vipala magereza makubwa, ile anashtuka kipala kama cha nakaya, nikalipa buku tukaagana amenuna
Hahahah ulimuweza kinyama yani
 
Back
Top Bottom