Siyo huyo stunter tu ata mie na wengine tuko hivyo! Mtakoma kumpigia MAGU kura.[emoji12] [emoji12] [emoji12]Nimestuka leo
STUNTER wewe ni mbahili
Tena ubahili wako sio wa mchezo mchezo
Huyu sio wake ni wspiga mizingaUsipo mtunza wako akapendeza utajikuta unawatamani wa wenzako kumbe hata wako ni mzuri tu ila ubahili wako ndo tatizo.
Ila tunatunza wanao tunzika sio hao wapiga mizinga anataka kupewa tu kutoa hataki.