wanaume walevi

wanaume walevi

Je wanawake walevi wao nn kinawatokea Tafadhal tujezeni???????????????
 
Aisee hiyo pombe lazima itakuwa ile ya ma** inayotengenezwa Musoma aakkk kitandani unasolola hii kali
 
:A S-coffee: nilipooana heading nikajua unatangaza location tujumuike.. kumbe unaongelea walevi mbwa?

ijumaa ya wiki hii nayo inachelewa sana bana
 
eti wanakojoa kitandani sana, kila siku kuanika godoro na wake zao wanawavumilia na kuwapenda. enyi mlioolewa na walevi mnasemaje????????? kuna ukweli hapo. du kazi ipo. Hii ameniambia mtu wa karibu mwanamke ambaye nimesoma naye kwa kipindi cha miaka kama 7 hivi

Hii ni kero kubwa sana, kuna jirani yangu kila wiki lazima aanike godoro na hana watoto wadogo. mume mlevi, mgomvi akilewa yani mtaa mzima utajua leo jamaa njwii..halafu ajikojolee na kutapika mule mule..
Nilimuambia huyo mdada kuwa ni shujaa, mimi nisingeweza kulea mtu mzima hivyo!..ni job true true hii!!
 
kulikuwa na Tcha we2 wa hesabu alikuwa hawezi kutufundisha bila kunywa pombe
 
hata iwaje sitaki kuwa na mwanaume mlevi wa pombe.inaboa kuliko kawaida.
 
nilikuwa muhanga.....kikombe hicho kikaniepuka.....hela ya sabuni za kufua mashuka zenyewe alikuwa hatoi.....yeye,pombe na baamedi.....:wink2:

Maskini! Pole eeh..
 
Ha ha ha!
Nitamkandika mangumi hadi kojo lake lirudi ndani.
 
Mh ulevi uliokithiri unakera, mpaka kukojoa? na bado tu mtu unaendelea kunywa si bora uache tu
 
wafanye vyote ila sio kunya kitandani maana ni aibu sana kwa mtu mzima tena msomi halafu mlevi!
eti wanakojoa kitandani sana, kila siku kuanika godoro na wake zao wanawavumilia na kuwapenda. enyi mlioolewa na walevi mnasemaje????????? kuna ukweli hapo. du kazi ipo. Hii ameniambia mtu wa karibu mwanamke ambaye nimesoma naye kwa kipindi cha miaka kama 7 hivi
 
eti wanakojoa kitandani sana, kila siku kuanika godoro na wake zao wanawavumilia na kuwapenda. enyi mlioolewa na walevi mnasemaje????????? kuna ukweli hapo. du kazi ipo. Hii ameniambia mtu wa karibu mwanamke ambaye nimesoma naye kwa kipindi cha miaka kama 7 hivi
:A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13:...ni tatizo la mutu yenyewe..
 
Hata ikifika asubui hawaoni aibu? baba akojoe, mtoto akojoe kweli hapo kuna haki, wababa hebu jaribuni kuwa wastaarabu mnawachosha wake zenu! sasa itokee siku mtoto aidake hio utajuuuuuuuuuta! hadi mtaa wa 3 wataijua si ni fedheha hiyo?
 
Hivi wanaume wasiokunywa pombe huwa wanafanya nini kuanzia saa moja jioni mpaka saa tano usiku?
 
Hivi wanaume wasiokunywa pombe huwa wanafanya nini kuanzia saa moja jioni mpaka saa tano usiku?

unaangalia tv pamoja na familia,unashiriki chakula cha jioni pamoja na familia,unaangalia homework za watoto,unapiga stori na watoto...saa nne unalala ili uwahi kesho kazini...simple!:A S 13:
 
Back
Top Bottom