[emoji21][emoji21][emoji106][emoji106][emoji15] [emoji79]
Hawajawah jihusisha na mapenzi hence ni rahisi kutekwa Na Gal anayejua ku care thus why aliambiwa shikilia anaweza kuibiwa.Naomba kuuliza jamani, hivi wanaume waliosoma seminari wanasifa zipi na hasa inapokuja suala la wao kuwa baba ktk familia. Nimewahi msikia mtu mmoja akimwambia mwanamke aliye olewa na kijana aliyewahi soma shule za seminari kuwa amshikilie sana, sasa sikuelewa. Hivi hawa vijana wanasifa zipi hasa...?
Loving caring n very trustful... Nimepitia seminary trust meNaomba kuuliza jamani, hivi wanaume waliosoma seminari wanasifa zipi na hasa inapokuja suala la wao kuwa baba ktk familia. Nimewahi msikia mtu mmoja akimwambia mwanamke aliye olewa na kijana aliyewahi soma shule za seminari kuwa amshikilie sana, sasa sikuelewa. Hivi hawa vijana wanasifa zipi hasa...?
Dah [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji779] [emoji779] [emoji779]Nachojua mimi ni wapiga punyeto wa kutupwa.
Sema wewe ndio mshirika mkuu wa CHAPUTANachojua mimi ni wapiga punyeto wa kutupwa.
KabisaaNachojua mimi ni wapiga punyeto wa kutupwa.
Wapiga nyeti utawajua tuuSema wewe ndio mshirika mkuu wa CHAPUTA
[emoji16][emoji16][emoji16] hawa jamaa masnitch kinomaaKabisaa
Kwanza wana nidham ya uoga saana. Unawakumbuka kipindi cha amsha amsha???? Wanakuwa snitch
Wakifika chuo wanakuwa na ulimbukeni
Fulani hivi kwa wanawake.
Wengi nnao wajua mimi wamekua MashogaNaomba kuuliza jamani, hivi wanaume waliosoma seminari wanasifa zipi na hasa inapokuja suala la wao kuwa baba ktk familia. Nimewahi msikia mtu mmoja akimwambia mwanamke aliye olewa na kijana aliyewahi soma shule za seminari kuwa amshikilie sana, sasa sikuelewa. Hivi hawa vijana wanasifa zipi hasa...?