Wanaume waliosoma seminari

Hawawezi kuokota matunda yaliyodondoka kwenye mti
dah nahisi umefikiria mbali mkuu, kwa jinsi nilivyokuelewa ni kwamba hawawezi kula kula ovyo katika mazingira yasiyo rasm na si wepesi wa kuamini usalama wa chakula chochote katika mazingira yasiyo rasmi. kama niko wrong nisahihishe mkuu...!!!
 
Sasa hadi najikuta nawasahau maana kila siku natambulishwa mpya. Haya hebu nitambulishe hao wifi zangu.

Hivi hamna namna kabisa kweli!!!
Ni Kasie tu sis.... ndugu hufichiana sifa mbaya....sasa sijui wewe umetoka wapi
 
Wanaume waliosoma seminary Kwanzaa ni waaminifu na watiii, huwa Wacha mungu kutokana na misingi waliokulia, pia ni wachapa kazi Sana sio watu legelege,, watu wanaopenda kumsikiliza mtu kwa umakini
mkuu nahisi upo mule mule kutokana na unachokiongea...!!!
 
psychology wanasoma wale walioenda major seminary(seminary kuu) baada ya kumaliza form 6 na kufaulu, waliopo mtaani wengi ni wale walioishia junior seminary ( kidato cha 1-6).
lakini nahisi malezi yao tu yapo so psychological mbali na wale waliokwenda kusomea na hata hao wa major seminary hawana utofauti mkubwa kabisa na hawa wa junior seminary kifupi tu ni kwamba wanafanana kwa kila kitu kwa sababu reasoning inabaki kwenye mfumo wa malezi na si tu kusoma ( hasa katika masomo yao ya Logic Philosophy etc).
 
mkuu nafikiri itabaki kuwa hivyo kwa watu wachache ila wengi wao hawako hivyo.
 
Ninachojua ni kuwa wanaishi maisha ya kinafiki sana, wanajifanya wema mbele za watu kumbe mbwa mwitu, mwisho wao huwa ni mbaya sanasana wanakurupukia mpenzi, na baadae wengi wanakufa Kwa ngoma maana huwa wanafanya hayo mambo Kwa siri.
 
nafikiri wako hivyo kwa sababu waseminari wengi huwa wanaamini katika lile jambo la kwanza unalomwambia hasa kuhusiana na mapenzi then akishakuchukulia kichwani jinsi ulivyo according to the first perception utaishi naye hivyo hivyo, na kwa kuwa wao ni watu wa sala sana huwa wanaamini kukosea kwa binadamu ni kupitiwa na si ukosefu endelevu.
Hivyo basi suala na kuendelea naye au yeye kuendelea kuwa na wewe itategemea na anavyokuperceive akibadili mind juu yako ujue na mahusiano juu yenu yanaishia hapo.
Kwa kuwa anakujali ( si kiuchumi tu) kiakili na kukuheshimu, mwananmke anajikuta hana sababu ya kumuumiza au kukengeuka.
Mwisho, wengi wao kwenye mahusiano si wajeuri ni watu wa kusikia na kukujibu kitu ambacho wanawake wengi wanapenda na hata ikitokea mkaachana ni majuto makubwa yanabaki kwa mwanamke kwa sababu naamini chanzo cha tatizo litakuwa ni kwao.
 
Ninachojua ni kuwa wanaishi maisha ya kinafiki sana, wanajifanya wema mbele za watu kumbe mbwa mwitu, mwisho wao huwa ni mbaya sanasana wanakurupukia mpenzi, na baadae wengi wanakufa Kwa ngoma maana huwa wanafanya hayo mambo Kwa siri.
Fact mkuu hjakosea hta me weng niliowaona wapo hivo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…