Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Hebu niulize tena swali nimelisahauUnajibuje hivi lkn? Fafanua kwa sentensi 3 na uanze na herufi A[emoji85]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu niulize tena swali nimelisahauUnajibuje hivi lkn? Fafanua kwa sentensi 3 na uanze na herufi A[emoji85]
dah nahisi umefikiria mbali mkuu, kwa jinsi nilivyokuelewa ni kwamba hawawezi kula kula ovyo katika mazingira yasiyo rasm na si wepesi wa kuamini usalama wa chakula chochote katika mazingira yasiyo rasmi. kama niko wrong nisahihishe mkuu...!!!Hawawezi kuokota matunda yaliyodondoka kwenye mti
mkuu nahisi upo mule mule kutokana na unachokiongea...!!!Wanaume waliosoma seminary Kwanzaa ni waaminifu na watiii, huwa Wacha mungu kutokana na misingi waliokulia, pia ni wachapa kazi Sana sio watu legelege,, watu wanaopenda kumsikiliza mtu kwa umakini
hahahahahah hujasahau shem unanitegaHebu niulize tena swali nimelisahau
Mimi nakutega au mtego umekutega!hahahahahah hujasahau shem unanitega
umenitega shemMimi nakutega au mtego umekutega!
lakini nahisi malezi yao tu yapo so psychological mbali na wale waliokwenda kusomea na hata hao wa major seminary hawana utofauti mkubwa kabisa na hawa wa junior seminary kifupi tu ni kwamba wanafanana kwa kila kitu kwa sababu reasoning inabaki kwenye mfumo wa malezi na si tu kusoma ( hasa katika masomo yao ya Logic Philosophy etc).psychology wanasoma wale walioenda major seminary(seminary kuu) baada ya kumaliza form 6 na kufaulu, waliopo mtaani wengi ni wale walioishia junior seminary ( kidato cha 1-6).
mkuu nafikiri itabaki kuwa hivyo kwa watu wachache ila wengi wao hawako hivyo.Kwenye mapenzi ni hatariii zaidi ya kobraa kila akipata kuonja mpya hurukwa na akili yaani anakimbia na kuhamia huko completely, akionya mpya tena hivyo hivyo, akiona shape, ziwa jipya yaaani zinamruka ukiwa naye jipange, akipata mpya tu kesho yake hunaye tena.
Hapana bwana ila bora kutegwa kuliko kutekwa lolumenitega shem
na nikitegwa na wewe najua niko kwenye mikono salama sina shidaHapana bwana ila bora kutegwa kuliko kutekwa lol
dah! kweli maana mchagua jembe si..........Mie niliona wengi hawachagui "k"
hahahahhaha, kumbe upo tehe tehe tehe habari za Jumatatu?dah! kweli maana mchagua jembe si..........
njema. leo nasoma tu na kuchekahahahahhaha, kumbe upo tehe tehe tehe habari za Jumatatu?
Fact mkuu hjakosea hta me weng niliowaona wapo hivoNinachojua ni kuwa wanaishi maisha ya kinafiki sana, wanajifanya wema mbele za watu kumbe mbwa mwitu, mwisho wao huwa ni mbaya sanasana wanakurupukia mpenzi, na baadae wengi wanakufa Kwa ngoma maana huwa wanafanya hayo mambo Kwa siri.