Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Shindwaaaaa!! Huko kwenyewe napasikia tu hata kufika sijawahi.Espy ndiyo bashite wa KLM????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shindwaaaaa!! Huko kwenyewe napasikia tu hata kufika sijawahi.Espy ndiyo bashite wa KLM????
Kaka yangu anapenda naniliu huyo doooh!!Teh
Haya soon angalia salio. Ila Nashukuru kwa kupenda pesa kuliko kaka yako
Hawezi kughairi, huyu mbibi kamshika kweli.We kaa tu upande wangu wakati hata pesa yenyewe hujapewa ngoja aghairi
Naniliu ni nini sis?Kaka yangu anapenda naniliu huyo doooh!!
[emoji57][emoji57]We kaa tu upande wangu wakati hata pesa yenyewe hujapewa ngoja aghairi
Ile kitu inamesa mwensake.Naniliu ni nini sis?
Ndio nn?Ile kitu inamesa mwensake.
[emoji16][emoji16]Ile kitu inamesa mwensake.
Bado sijakielewa mkuu hebu nidokezee. ndo nini[emoji16][emoji16]
Walai sina dada hapa....hicho kiungo ni cha kutaja mbele yangu kweli?
jiheshimu uheshimiweHawezi kughairi, huyu mbibi kamshika kweli.
Eti UKEBado sijakielewa mkuu hebu nidokezee. ndo nini
Sasa nitafanyaje na ndio umetaka mwenyewe nikutajie.[emoji16][emoji16]
Walai sina dada hapa....hicho kiungo ni cha kutaja mbele yangu kweli?
Unatafuta sababu za kutokutuma pesa?jiheshimu uheshimiwe
Kwani nimeanza leo kukutumia pesa? Nakutumia ila naona bado unakiburi kwa wifi yako..baby wanguSasa nitafanyaje na ndio umetaka mwenyewe nikutajie.
Unatafuta sababu za kutokutuma pesa?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji14]Shindwaaaaa!! Huko kwenyewe napasikia tu hata kufika sijawahi.
Tatizo hakawii kuchuja kesho utasikia ana mwingineHawezi kughairi, huyu mbibi kamshika kweli.
Teh teh teh[emoji16][emoji16]
Walai sina dada hapa....hicho kiungo ni cha kutaja mbele yangu kweli?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwani nimeanza leo kukutumia pesa? Nakutumia ila naona bado unakiburi kwa wifi yako..baby wangu