Wanaume waliosoma seminari

#Bree ven kwa kweli we seminarians ni wanaume bora kabisa. Mti wa matunda daima hupigwa mawe. Kama umempata mseminaristi mshike kama lulu iyojificha shambani.
 
Kila la kheri Padri kivuli mwenzangu.
 
Hawapendagi ujinga.kazi tu.si unaona magufuli
Wana maadili ya dini(chrístianity) pía maadili ya jamii, wako committed kwenye kazi zao na wako serious kwenye mambo ya msingi,ni wepesi kutambua tabia ya mtu wamesomea psychology
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] hapo kwenye usinitch... yamkini ni kwa sababu shule hizo ni singo sana.
Hapana mkuu labda ni 2% ndo masnitch ila wengi wao ni watu wa kutunza sana siri na kujali hisia za wenzao na hata umfanye vip ni wagumu kuchongea wenzao. Sababu kubwa ya wao kuwa na msimamo ni pamoja na aina ya malezi na kusudio lao la kusoma kwamba wale wanasoma kwa lengo la kuwa padre na si vinginevyo na hivyo misimamo kwao ndio kigezo chao. Nina mengi kuhusu wao ila wacha niishie hapa nitaendelea kuchangia kadiri ya hoja zitakapokuwa zinatolewa.
 
Wanaume waliosoma seminary Kwanzaa ni waaminifu na watiii, huwa Wacha mungu kutokana na misingi waliokulia, pia ni wachapa kazi Sana sio watu legelege,, watu wanaopenda kumsikiliza mtu kwa umakini
 
Wana maadili ya dini(chrístianity) pía maadili ya jamii, wako committed kwenye kazi zao na wako serious kwenye mambo ya msingi,ni wepesi kutambua tabia ya mtu wamesomea psychology
psychology wanasoma wale walioenda major seminary(seminary kuu) baada ya kumaliza form 6 na kufaulu, waliopo mtaani wengi ni wale walioishia junior seminary ( kidato cha 1-6).
 
Wanaume waliosoma seminary Kwanzaa ni waaminifu na watiii, huwa Wacha mungu kutokana na misingi waliokulia, pia ni wachapa kazi Sana sio watu legelege,, watu wanaopenda kumsikiliza mtu kwa umakini

Kwenye mapenzi ni hatariii zaidi ya kobraa kila akipata kuonja mpya hurukwa na akili yaani anakimbia na kuhamia huko completely, akionya mpya tena hivyo hivyo, akiona shape, ziwa jipya yaaani zinamruka ukiwa naye jipange, akipata mpya tu kesho yake hunaye tena.
 
mkuu utakuwa mseminari nini mbona mulemule????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…