Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipindi cha lwamba na fr. Fikiri wakiwa ma rectorEnz zp boss
Mie pia nilfaidi matunda ya St. Mary's
Miaka inakimbia hatariNa akina seseja bene.., agustino.., sunday dah long time sana ila ni mwaka juzi juzii tyuuu
Hilo swali la kwanza veepeeKwqni napiga punyeto.
Mimi sijawahi pata hizo privilege bwana kayumba mwanzo mwisho
Fr. Mkama nampata vizuri sana kanifundisha sayusayu seminaryNyie mlikua olevo paspo shaka.
Mie nimemalza na ambao sahv ni mapadre Fr. Sumila na Fr. Mkama. Hawa lazma utakua unawajua[emoji3]
Katiba wote wameshalawitiana.Naomba kuuliza jamani, hivi wanaume waliosoma seminari wanasifa zipi na hasa inapokuja suala la wao kuwa baba ktk familia. Nimewahi msikia mtu mmoja akimwambia mwanamke aliye olewa na kijana aliyewahi soma shule za seminari kuwa amshikilie sana, sasa sikuelewa. Hivi hawa vijana wanasifa zipi hasa...?
Kwa wanawake walioolewa Na waseminary ni kicheko. Tabia zao ni trustful, hawajui kuacha SBB ni kuwa wazito kutongoza Na kuanza Mahusiano mapya. Yuko tayari afanye chochote kile lkn usimwache. Kifanyacho hicho ni malezi, lkn wanajari familia mno.
Asilimia kubwa ni walevi koko ingawaje ni kweli si walevi wa mapenzi.Loving caring n very trustful... Nimepitia seminary trust me
sis waseminari tuko poa sana, hasa za kikatoliliki hatujuagi mambo mengi tukishaoa maisha yanendelea , mi mmoja wapo mke wangu ana raha sana.Naomba kuuliza jamani, hivi wanaume waliosoma seminari wanasifa zipi na hasa inapokuja suala la wao kuwa baba ktk familia. Nimewahi msikia mtu mmoja akimwambia mwanamke aliye olewa na kijana aliyewahi soma shule za seminari kuwa amshikilie sana, sasa sikuelewa. Hivi hawa vijana wanasifa zipi hasa...?
faiza taratibu pls, umekuja kwa kasi mno mama kha!= wanajali
Hivi hizo seminari mlienda kusomea ujinga?