Wanaume waliosoma seminari

Wanaume waliosoma seminari

Kuwa makini, kuna pande mbili, saa zngne unakuta sio rizki.. Analiwa mtandao
 
Naomba kuuliza jamani, hivi wanaume waliosoma seminari wanasifa zipi na hasa inapokuja suala la wao kuwa baba ktk familia. Nimewahi msikia mtu mmoja akimwambia mwanamke aliye olewa na kijana aliyewahi soma shule za seminari kuwa amshikilie sana, sasa sikuelewa. Hivi hawa vijana wanasifa zipi hasa...?

Ninachokijua kutoka Kwao ni kwamba ni wapigaji nyeto wazuri mno.
 
Huyu sister na nitamwachia laana ndoa yake isiishi akiendelea kukataja hako kaneno
weeee nafuta hayo maneno yako kwa niaba yake. wewe sema roho imekuuma ila utaniambia baadae huo uzee alimaanisha nini

teh teh
 
Back
Top Bottom