Wanaume waliosoma seminari

Wanaume waliosoma seminari

Nimesoma nao mkuu so exprience from many....au hiyo loving and caring ndo imekustua
 
Naomba kuuliza jamani, hivi wanaume waliosoma seminari wanasifa zipi na hasa inapokuja suala la wao kuwa baba ktk familia. Nimewahi msikia mtu mmoja akimwambia mwanamke aliye olewa na kijana aliyewahi soma shule za seminari kuwa amshikilie sana, sasa sikuelewa. Hivi hawa vijana wanasifa zipi hasa...?
Wengi kwa nje unaweza kumkuta mpole na mwenye nidham lakini huwa na wanawake wengi sana. Nahisi kwa kuwa ni kama walivuka stage. Yaan leo yupo na huyu kesho na huyuu yaan kifupi ni vitombi[emoji125] [emoji125]
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Oooh!! Hakika.
Basi sawa dogo we kula mema ya nchi.
Jibu swali ndiyo uniulize. Nani mzee?

Wa mwanzo ulisema ooh mmakonde sijui.. wa sasa umeanza tena.

Sasa hivi sister itabidi unitongozee uniletee chumbani sasa maana navyovileta nyumbani wewe hauvitaki
Hivi ndoa yangu isipoishi wewe unapata faida gani my kaka?
 
hahahah
Jibu swali ndiyo uniulize. Nani mzee?

Wa mwanzo ulisema ooh mmakonde sijui.. wa sasa umeanza tena.

Sasa hivi sister itabidi unitongozee uniletee chumbani sasa maana navyovileta nyumbani wewe hauvitaki
hahahaha nacheka huku nimefunga macho yangu shem
 
Sema ni vibaya kumsema dada mtu ila mme wake anadomo la mamba ila tukaruhusu amchukue tu. .ila yeye mim kasoro hazimkauki mdomoni
Uzuri wangu kwa mpnz wangu kuna wakaka wengi zaidi ya mawifi, so sina shida mie nina wifi mmoja na tunaelewana tu.

Faida niliyopata anampenda kaka yake so na mimi nimepatamo ka advantage ka kupendwa.
 
Jibu swali ndiyo uniulize. Nani mzee?

Wa mwanzo ulisema ooh mmakonde sijui.. wa sasa umeanza tena.

Sasa hivi sister itabidi unitongozee uniletee chumbani sasa maana navyovileta nyumbani wewe hauvitaki
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Nimekushindwa tabia my kaka.
 
Uzuri wangu kwa mpnz wangu kuna wakaka wengi zaidi ya mawifi, so sina shida mie nina wifi mmoja na tunaelewana tu.

Faida niliyopata anampenda kaka yake so na mimi nimepatamo ka advantage ka kupendwa.
Hongera shem
 
Sema ni vibaya kumsema dada mtu ila mme wake anadomo la mamba ila tukaruhusu amchukue tu. .ila yeye mim kasoro hazimkauki mdomoni
We mume wangu umuwache!!
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]
 
Back
Top Bottom