The Messenger
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 1,523
- 809
The future is exciting
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaume huku kwenye mitandao ya kijamii ni ma"handsome" na wako "smart" sana, ila ukikutana nao nje ya hii mitandao ya kijamii utampa tu Kristo maisha yako.
Utakuta kimwanaume huku kinavimbaa kina act kipo smart lakini sivyo kabisa,uhalisia wake unakuta ni mtu wa ovyo,yupo rough,hana hela anaunga unga tu maisha
Badilikeni mtafute pesa
Unaonekana unawasema na wadada pia, maana avatar zao zinavutia kweli na wanaonekana na busara, ila asee...Mungu ni Mwema Siku ZoteWanaume huku kwenye mitandao ya kijamii ni ma"handsome" na wako "smart" sana, ila ukikutana nao nje ya hii mitandao ya kijamii utampa tu Kristo maisha yako.
Utakuta kimwanaume huku kinavimbaa kina act kipo smart lakini sivyo kabisa,uhalisia wake unakuta ni mtu wa ovyo,yupo rough,hana hela anaunga unga tu maisha
Badilikeni mtafute pesa
Hiyo ndoto hawajawahi kuiota, zile mbio za tukiwezeshwa tunaweza ni janja tu ya kuonekana wanajitahidi hata kuuza karanga, ila pesa yao inaishia kwenye mchezo ikitoka kwenye mchezo inaenda wapi nobody knows,Na wanawake pia mbadilike mtafute pesa zenu wenyewe
Aiiyaaa hujaweka ile signature mwishoni...Hahaha she has a point though... behind the keyboard kila mtu anavimba, wake kwa waume... kumbe in reality hahaha utachoka...
Thanks God mahondaw wangu i found you the way you are and how you are... love you sana... i consider myself lucky...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] uchokozi huu jamaani Mkuu.Unaonekana unawasema na wadada pia, maana avatar zao zinavutia kweli na wanaonekana na busara, ila asee...Mungu ni Mwema Siku Zote
pole mkuumkuu safari yetu ilianzia PM ingefaa iishie PM... Sasa kuleta hapa ndio nini!!? Nimekumind kinomanoma yaan🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁
Hahaha she has a point though... behind the keyboard kila mtu anavimba, wake kwa waume... kumbe in reality hahaha utachoka...
Thanks God mahondaw wangu i found you the way you are and how you are... love you sana... i consider myself lucky...
kivyake, sio?Umekopwa?