Wanaume wambea wanazidi kuongezeka kwa kasi ya 5G

Wanaume wambea wanazidi kuongezeka kwa kasi ya 5G

Pamoja na kwamba umbea wameumbiwa wanawake kwakuwa inasemwa hawana vifua vya kuhifadhi mambo na makoromea na kuzuia vitu visitoke nje ya mdomo lakini hiyo dhana inatoweka kwa kasi ya ajabu.. Wanaume wa kileo (sio wote) ni wambea mpaka inakera kama sio kutia aibu ama kinyaa

Case studies ni mitandao ya kijamii, online TVs na blogs ambazo nyingi wamiliki na waandishi wake ni vijana wa kiume.. Ukiingia huko utagundua kuna tatizo kubwa na linakuwa kwa kasi ya ajabu
Tumetoka kwenye zama za kujipodoa vijana wa kiume hili sasa limeshazoeleka sio ajabu tena!
Tumetoka kwenye zama za vijana wa kiume kuvaa kike, kutoka masikio, pua, midomo, ndimi na vitovu hili nalo limeshazoeleka si ajabu tena!
Kuna hii enzi ya ushoga pamoja na ukakasi mkubwa wa hili jambo lakini taratibu jamii inaanza kulipokea na kulizoea japo kwa shingo upande na kwa kificho
Hata mapenzi ya siku hizi yana maajabu yake.. Zile dirdo hazitumiwi na wanawake tuu wale wanaosagana bali hutumiwa na wanawake kwa wapenzi wao wa kiume[emoji35]
Kuna mabadiliko makubwa sana ya vinasaba, na haya yanajitokeza zaidi kwa vijana wetu wa kike na wa kiume! Wanaume wa kike siku hizi ni wengi kuliko wanaume wa kiume!

Uvumilivu wa jamii kwenye hayo mambo hapo juu ndio umezaa haya matokeo ya wanaume kuwa wambea..
Mtu anayebadili dini huwa mkali zaidi ya wenye dini yao! Ogopa sana mwanaume akiwa mmbea!

Makuzi na utandawazi, elimu ya jinsia( jando na unyago) iliyopewa kisogo, elimu ya utambuzi isiyopewa umuhimu, kuiga na kutamani kujaribu vyaweza kuwa sababu kuu ya haya matokeo
Pamoja na uhuru tulionao wa kuandika chochote alimradi tu usivunje taratibu na kanuni za jukwaa lakini kuna post nyingi sana zimeandikwa na vijana wa kiume mtu ukiziona unaona hata aibu kuzisoma! Na nyingine zinatia kinyaa kwakweli

Sisi kama wazazi na wazazi tarajiwa natoa rai tuwajenge vijana wetu katika njia sahihi za kimaisha kulingana na jinsia zao
Tuwakemee waziwazi na kuwaonya kwamba hilo halipaswi kufanywa na wewe kutokana na jinsia yako! Lakini tusiishie hapo tu bali tuwajenge kulingana na jinsia zao ili wasije kujuta tukiwa hai uzeeni tukajuta nao ama tukiwa hatupo tena!

Riep warumi View attachment 2768189

Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
" Mtu anae badili dini huwa mkali zaidi ya wenye dini yao"🤣🤣🤣 hii ni kweli kabisa mkuu.

In addition to that, usiombee KUKUTANA na mbea mwanaume. Bora ufanyiwe Umbeya na wanawake ishirini kuliko mwanaume mmoja.

Last week mtaani kwetu kuna jamaa kafukuzwa mtaani. Ni hivi kuna jamaa.single father anaishi na watoto wake wa kike watatu chumba na sebule. Jamaa kaenda kusambaza Umbeya mtaani eti jamaa ana wakula watoto wake. Ishu ikaenea mtaani then wahusika wakaitwa kwa.mjumbe baadae akatafutwa msambaza Umbeya ambae kumbe ni mpangaji Mwenza.

Uongozi wa mtaa uliamua kumfukuza mtaani kwa usalama wake kwa sababu raia walitaka kumshughulikia plus watu mtaani wamesha choshwa na tabia yake ameanza muda mrefu.

Huyo mpangaji alikua na wiki moja tangu ahamie kwenye hiyo nyumba. Mbeya alijua ni mgeni kumbe mzawa sema alikuwa anaishi upande wa pili wa mtaa huo huo n.a. mtaa mzima unajua jinsi alivyo pambana na watoto wake tangia wakiwa wadogo baada ya mama yao kufariki.

Hao watoto wa kike wote wanasoma sekondari
 
" Mtu anae badili dini huwa mkali zaidi ya wenye dini yao"[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hii ni kweli kabisa mkuu.

In addition to that, usiombee KUKUTANA na mbea mwanaume. Bora ufanyiwe Umbeya na wanawake ishirini kuliko mwanaume mmoja.

Last week mtaani kwetu kuna jamaa kafukuzwa mtaani. Ni hivi kuna jamaa.single father anaishi na watoto wake wa kike watatu chumba na sebule. Jamaa kaenda kusambaza Umbeya mtaani eti jamaa ana wakula watoto wake. Ishu ikaenea mtaani then wahusika wakaitwa kwa.mjumbe baadae akatafutwa msambaza Umbeya ambae kumbe ni mpangaji Mwenza.

Uongozi wa mtaa uliamua kumfukuza mtaani kwa usalama wake kwa sababu raia walitaka kumshughulikia plus watu mtaani wamesha choshwa na tabia yake ameanza muda mrefu.

Huyo mpangaji alikua na wiki moja tangu ahamie kwenye hiyo nyumba. Mbeya alijua ni mgeni kumbe mzawa sema alikuwa anaishi upande wa pili wa mtaa huo huo n.a. mtaa mzima unajua jinsi alivyo pambana na watoto wake tangia wakiwa wadogo baada ya mama yao kufariki.

Hao watoto wa kike wote wanasoma sekondari
Uongozi wa mtaa uliamua kumfukuza mtaani kwa usalama wake kwa sababu raia walitaka kumshughulikia plus watu mtaani wamesha choshwa na tabia yake ameanza muda mrefu.[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umbea unalipa mange kanunua g wagon latest kwa mshahara wa umbea .ni iyo tu basi saivi kila mtu kashajanjaruka so umbea sio fursa tena ila ningeshtuka mapema miaka ya 2010 saivi ningekua na ghorofa yangu kali pale mbweni na range spot yangu moja kali
 
Hii boy child Campaign ni vema ikadhaminiwa na waafrika wenyewe wazungu ni washenzi na hawaaminiki

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mkuu 😁😁
Kuna zile kampeni zinazoendeshwa haswa siku ya baba duniani mfano mshua masta ya Efm lakini pia kuna male conferences zimeanza. Mara nyingi nikiwa twitter huwa naziona, japo zimeanza kwa udogo lakini huko mbeleni itakuwa kitu kikubwa
 
Hapana mkuu [emoji16][emoji16]
Kuna zile kampeni zinazoendeshwa haswa siku ya baba duniani mfano mshua masta ya Efm lakini pia kuna male conferences zimeanza. Mara nyingi nikiwa twitter huwa naziona, japo zimeanza kwa udogo lakini huko mbeleni itakuwa kitu kikubwa
Nadhani jando na unyago katika uhalisia wake ndio penyewe ..! Hao kina EFM sidhani kama wanafanya katika usahihi wake... LIKUD kuna post yake kazungumzia umuhimu wa shule zisizo na hadhi ziitwazo saint Kayumba.. Kuna mafundisho mengi kule nje ya darasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani jando na unyago katika uhalisia wake ndio penyewe ..! Hao kina EFM sidhani kama wanafanya katika usahihi wake... LIKUD kuna post yake kazungumzia umuhimu wa shule zisizo na hadhi ziitwazo saint Kayumba.. Kuna mafundisho mengi kule nje ya darasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu,jando labda ulilinganishe na jkt Ila sio watu wamekaa kwenye viti wanashea mawazo Ila kwa kuzungumza. Inaweza kusaidia kuboresha hali halisi

By the way, nimesoma hizo shule na kama mtoto unamuona kiakili anahitaji boost, usisumbuke kumpeleka maana utampoteza tu
 
Hatimae umeamua kuwasemea haleluyaaa!!
Wanaume wanaongoza kwa umbea now days.
 
Hatimae umeamua kuwasemea haleluyaaa!!
Wanaume wanaongoza kwa umbea now days.
Shem dogo kanikazia ujue.. Hebu toa password basi.. Maokoto yapo ya kubeba na shangazi kaja ujue
FB_IMG_1696159293043.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom