Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaanzie kwangu kwanza bwa shee!!Shem dogo kanikazia ujue.. Hebu toa password basi.. Maokoto yapo ya kubeba na shangazi kaja ujueView attachment 2768555
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikiri hawako sawa pia mke aliwah kudai talaka piaSasa mbona kama ana mtusi mme wake mtandaoni.
Au ni mme jina.?
Ila wengine hawakutaka na hawakuwahi kutamani kuwa single momsHayo ni matokeo ya Single mother , watoto wa Single mother wameshakuwa wakubwa wapo kila kona sasa. Tuache vijana wakatae ndoa tu.
Kabisa mkuu
Ukimuona mwanaume au kijana wa kiume wa sampuli hiyo mkwepe kwa kadiri ya uwezo wako.[emoji419][emoji375]Ukiona mwanaume au kijana wa kiume hana kazi yakumuingizia kipato halafu analewa au yupo maeneo ya starehe jua kwa 100% ni mmbea.
Ukiona mwanaume au kijana wa kiume anakupiga mzinga wa jero, buku au khaki jua kwa 100% ni mmbea.
Ukiona mwanaume au kijana wa kiume anatabia ya kusifia sifia wanaume wenzake mara, tajirii, bosii, don, minor na maneno kama hayo jua kwa 100% ni mmbea.
Ukimuona mwanaume au kijana wa kiume wa sampuli hiyo mkwepe kwa kadiri ya uwezo wako.
Hii haina coming back kapigwa kwenye mshono mbichi [emoji1]Hee
Tuone muendelezo.
Baada ya kuambiwa ye chakula cha watu, alijiteteaje?
Kama kizazi cha sasa ndio kingekuwa na nguvu wakati wa kutafuta uhuru ni dhahiri kabisa kuwa Mkoloni bado angeendelea kutawala.Tuna shida kubwa sana ya Mindset na thamani ya maisha ya Nchi yetu ya kesho, tumbo na kupigiwa makofi vimekuwa kipaumbele kuliko hata uhai wa mtuHuyu ndo Lucas mwashambwa?View attachment 2768638
DuuhPamoja na kwamba umbea wameumbiwa wanawake kwakuwa inasemwa hawana vifua vya kuhifadhi mambo na makoromea na kuzuia vitu visitoke nje ya mdomo lakini hiyo dhana inatoweka kwa kasi ya ajabu.. Wanaume wa kileo (sio wote) ni wambea mpaka inakera kama sio kutia aibu ama kinyaa
Case studies ni mitandao ya kijamii, online TVs na blogs ambazo nyingi wamiliki na waandishi wake ni vijana wa kiume.. Ukiingia huko utagundua kuna tatizo kubwa na linakuwa kwa kasi ya ajabu Tumetoka kwenye zama za kujipodoa vijana wa kiume hili sasa limeshazoeleka sio ajabu tena!
Tumetoka kwenye zama za vijana wa kiume kuvaa kike, kutoka masikio, pua, midomo, ndimi na vitovu hili nalo limeshazoeleka si ajabu tena!
Kuna hii enzi ya ushoga pamoja na ukakasi mkubwa wa hili jambo lakini taratibu jamii inaanza kulipokea na kulizoea japo kwa shingo upande na kwa kificho. Hata mapenzi ya siku hizi yana maajabu yake.. Zile dirdo hazitumiwi na wanawake tuu wale wanaosagana bali hutumiwa na wanawake kwa wapenzi wao wa kiume[emoji35]. Kuna mabadiliko makubwa sana ya vinasaba, na haya yanajitokeza zaidi kwa vijana wetu wa kike na wa kiume! Wanaume wa kike siku hizi ni wengi kuliko wanaume wa kiume!
Uvumilivu wa jamii kwenye hayo mambo hapo juu ndio umezaa haya matokeo ya wanaume kuwa wambea..
Mtu anayebadili dini huwa mkali zaidi ya wenye dini yao! Ogopa sana mwanaume akiwa mmbea!
Makuzi na utandawazi, elimu ya jinsia( jando na unyago) iliyopewa kisogo, elimu ya utambuzi isiyopewa umuhimu, kuiga na kutamani kujaribu vyaweza kuwa sababu kuu ya haya matokeo
Pamoja na uhuru tulionao wa kuandika chochote alimradi tu usivunje taratibu na kanuni za jukwaa lakini kuna post nyingi sana zimeandikwa na vijana wa kiume mtu ukiziona unaona hata aibu kuzisoma! Na nyingine zinatia kinyaa kwakweli
Sisi kama wazazi na wazazi tarajiwa natoa rai tuwajenge vijana wetu katika njia sahihi za kimaisha kulingana na jinsia zao. Tuwakemee waziwazi na kuwaonya kwamba hilo halipaswi kufanywa na wewe kutokana na jinsia yako! Lakini tusiishie hapo tu bali tuwajenge kulingana na jinsia zao ili wasije kujuta tukiwa hai uzeeni tukajuta nao ama tukiwa hatupo tena!
Riep warumi View attachment 2768189
Sent using Jamii Forums mobile app
So what? Tumia akili we mmamaLakini ni shabiki kindakindaki wa Yanga 🤣
HujaulizwaWe bana
Umbea sunna ujue?
Fanya namna tupate muendelezo.
We unakuwa sio mmbea, bali mleta habari 😂😂
CarleenDua la kuku