Wanaume, wamekuwaje jamani!!!!

Safina

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2009
Posts
497
Reaction score
64
Habari wana jamvi,

Nimekuwa nikipata malalamiko mengi kutoka kwa mashosti eti utakuta mwanaume anamtokea msichana na kumuimbisha sana, mimi nakupenda zinakuwa nyingi, lakini mkishapewa mara moja ndo mnaanza visa, mara nina kazi nyingi nimebanwa, kabla ya kupewa muda ulikuwa mwingi tu wa kuwatafuta lakini ukishampata ndo visingizio vinaanza. Mimi nina saloon na grocery huko ndio huwa wadada wakija kutengeneza nywele au tukiwa tunapata moja moto moja baridi mashosti wanalalamika sana kuhusu hilo. Eti tunaomba mtuambie mmekuaje?
 

...sasa na nyie, si muwanyime basi?
 
ahh!yani hili nalo ni swali?Ni kwamba tunachotaka ni kitamu-tamu!kingekuwa bure, i love u nyingi zisingekuwepo!
 
kha mliwekewa mtutu wa bunduki kuwapa?
 
Inachekesha sana , kama ndo hivyo inapaswa wanyimwe au wazungushwe mpaka wakate tamaa :A S 112:
 
Wewew mtu akikwambia anakupenda ndy anakuoa? Kama ni kufurahishana tu basi haina haja kumfuatafuata na Kumpiga VIBOMU!! Tabu kubwa ni kuombaomba pesa wakati hauuzi!!
 
Wewew mtu akikwambia anakupenda ndy anakuoa? Kama ni kufurahishana tu basi haina haja kumfuatafuata na Kumpiga VIBOMU!! Tabu kubwa ni kuombaomba pesa wakati hauuzi!!

...he he hehheh...ina maana baada 'peremende' anageuzwa ATM?
No wonder 'the number you are calling is unreachable' hufuatia.
Safina, huna swali la nyongeza?
 
Tatizo ni gharama za uendeshaji..., mara kodi ya nyumba imeisha, mara mdogo wangu hana school fess, mara mama mgonjwa etc. Who would like to foot these bill after he has got what he wanted in the first place? :lol:
 
kwani umechukua muda gani b4 kumpa?
mchunguze fresh b4 aujampa not less than 6mth closely.............yan utajua tu km uyu ni one touch au wa kuhang naye japo kdg....km si kindoa apo badaye
-usikiurupuke kutoa.......km slang ilikuwa kakutokea ijumaa then jumamos ukampa wat do u expect?
na wengneo afta kumpa waanza virungu ooh mimi jamani nmepungukiwa m2 ya .....jaman nataka laki 6...ahhhhhh ata km mimi mwanaume nasepa imediately!!!
wat 2do:
-jiheshimu
-dnt act like goldga
-take tym b4 aujampa
APO KDG ITAPUNGUZA KUGUSWA NA KUACHWA
vce vesa na apo ni utafunuliwa na kufunikwa km sahani ya bakhresa.
wape pole mashost ao.
NAWASILISHA
 
Na huko salon kuna mambo! Wife wangu aliwahi kumiliki salon miaka ya nyuma. Siku moja nilienda kumcheki nikamkuta busy na wateja nilipoondoka tu dada mmoja si akaanza kunimwagia sifa, "Huyo kaka ana roho nzuri sana, nilienda ofisini kwao akanipokea vizuri, alinisaidia sana." Wife kwa nini asimid? "Mbona yule dada kakusifia kishenzi? Mtakuwa mnafahamiana." Nilimuuliza angejisikiaje kama yule dada angesema yule kaka anaringa sana, nimeenda ofisini kwao kanionyesha dharau hata hakunisaidia? In fact yule dada alikuwa anasimamia NGO fulani mpya na alikuwa anajiintroduce na kukusanya profiles za mashirika ambayo walidhani yalikuwa potential kufanya nayo kazi.
 
Inawezekana hamuwapi vizuri/hammeet expectation zao. Wape yote muone kama watakimbia!!:smile-big:
 
Wanaume wengine wana tabia ya kuonja onja tu, alinganishe hapa na pale. Hayo maneno matamu na investment ya mwanzo ni kutimiza lengo lao la kuwapata. Kuonja mwisho mara ngapi?
 
Inawezekana hamuwapi vizuri/hammeet expectation zao. Wape yote muone kama watakimbia!!:smile-big:

Hahahahah wawape yoooteeee na waache vibomu na pengine wanawake pia wachangie vigharama kwa wanaume hata kumnunulia shati kweli hawatakimbia
 
Ambassador hata mpewe vipi bado mtakuwa na visingizio.....wanaume sijui mmeumbwaje? Nyie watu mna roho za ajabu sana mnageuza wanawake ni chombo cha matumizi sijui kwa nini?
 
Wanaume wengine wana tabia ya kuonja onja tu, alinganishe hapa na pale. Hayo maneno matamu na investment ya mwanzo ni kutimiza lengo lake lao la kuwapata. Kuonja mwisho mara ngapi?

Vitu vingine ukionja ni kama shubiri...huwezi kurudi tena...lakini vipo vingine kama asali utarudia mara milioni....msitulaumu tu wanaume,hata nyie wanawake mna issues nyingi pia
 
Kuna tofauti ya kupenda na kutamani. Wanaotamani ni wengi kuliko wanaopenda.Wanaotamani wakisha timiza matakwa ya tamaa biashara kwisha na matatizo yako hayawahusu.Wanaopenda ni wazuri. Kazi kwako kujua anayekupenda na anayekutamani.Wakati mwingine umdhaniaye ndiye, kumbe siye.:bowl:
 
Tatizo la mahusiano siku hizi limekuwa kubwa kiasi kwamba ni kama hakuna mapenzi na kilichokuwepo ni tamaa za mwili tu,kwa wanaume watakacho ni kutimiza haja tu hasa kama mwanamke ana maumbile yanayovutia,na kwa wanawake ni wakati wa kutengeneza maisha kama mwanaume anayemfuatilia anazo,pia wanawake wengi siku hizi wakitongozwa tu wanafikiria KUOLEWA kitu ambacho kwa wanaume kinakuwa hakipo akilini.
 
Safina inshu ni kuwa!! wanawake wengi wanakuwa siyo wabunifu utakuta mdada anategemea tu hiyo kitu yake kama mtaji wakunipata mimi na kuongeza life security yake. Hakumbuki kuwa mimi nachotaka ni furaha katika maisha yangu, natakiwa nijisikie vizuri zaidi nikiwa naye na kumuona ni muhimu kuwa naye muda mwingi. Kingine wadada wanarely mno kwa wanaume!! Mi nilikuwa na kitu changu yaani hadi raha nikitaka muda wowote napata, no complication na yeye akitaka nampa. Mizinga siyo lazima ila akinifuma ninazo nampa namimi nikichacha nampiga mzinga vile vile!! life linakuwa siyo gumu sana maana mtu kama unapata taabu kuzichanga inakuwa ngumu hata kuongeza mzigo (Tegemezi).

Wadada wengi wanakuwa too much tegemezi siku hizi, ila naona saizi wanabadirika kidogo kodogo ambapo bado ni wachache.

Thanks for the post.
 

wachache hao wa saloon
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…