pole mwaya,
ukifanya mapenzi,furahia tu,
usiweke expectations nyingi...
kama mwanaume hajapenda kitumbua chako mwache asonge,yupo atakayependa!!!
yupo pia atakeyeona kukughramia nyumba,saloon na vocha za simu sio mzigo...
kama wanawake wanavyokuja na different haiba/tabia,sizes na different vitumbua/taste...,
ndio hivyo hivyo pia wanaume wanavyokuja na different sizes/tabia..different 'muhogos'...
usipoteze muda na mtu unayemuona hamu-match,sababu utakuwa unajizibia nafasi ya kukutana na mtu unaye-match naye...:love: