low thinking capacity
JF-Expert Member
- Jun 4, 2018
- 1,323
- 1,496
inategemea na situation husika na uhusiano na huyu mwanamke. Tatizo siyo stress tatizo is how u handle stressWakati wadada wenye umri kama wako wakipata stress kwa kutoitwa kwenye interviews na kukosa kazi wakati vyeti wanavyo..wewe unapata stress kwasababu ya mwanamke.
Kaka upo serious na maisha kweli!.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hao ndo wanaumeWakati wadada wenye umri kama wako wakipata stress kwa kutoitwa kwenye interviews na kukosa kazi wakati vyeti wanavyo..wewe unapata stress kwasababu ya mwanamke.
Kaka upo serious na maisha kweli!.