Ulisema raha jipe mwenyewe, ukisubiri upewe raha unawapa watu karaha,km hv unafunguliwa Uzi kisa ugimbi tuRafiki nimefurahi huo ndio uanaume
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nakazia rafikiUlisema raha jipe mwenyewe, ukisubiri upewe raha unawapa watu karaha,km hv unafunguliwa Uzi kisa ugimbi tu
Wkt ni vitu vidogo Sana ,aargh acha niendelee kula ugimbi huku niki nyuzi humu JF
[emoji767]101-03-821.M|T|C
Wakikujibu uniiteAisee yani mtu hanywi pombe?? Anaishi je huyo[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Sent using Jamii Forums mobile app
Full high day ,moto hauzimwi mpk jpili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nakazia rafiki
Ziba pua na mdomo kwa dakika 10 utapata majibu kwamba wanaishijeAisee yani mtu hanywi pombe?? Anaishi je huyo[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni jambo la aibu sana hili hata kuliandika naona namaliza kilevi changu kichwani
Mwanaume Kukaa Bar Na Demu Anayekunywa Bia Halafu Wewe Unakunywa Maji,Soda au Juice Na Wewe Huna Tofauti Na Slay Queen
Badilika
Sent using Jamii Forums mobile app
Lak 2 Na 20 Inauzwa Tena Hapo Supermarket Sasa Huko Baa Sijui Ni Bei Gani?Huna ubavu wa kununua CIROC wewe
Nenda mkuki pale. Ciroc haifiki laki 2 but naunga mkono huyo binti hana uwezo wa kununua ciroc.Lak 2 Na 20 Inauzwa Tena Hapo Supermarket Sasa Huko Baa Sijui Ni Bei Gani?
Si kweli.. Mbona mimi situmii kilevi cha aina yeyote mimi nazani ni hobi ya mtu tu.: ukiona hivi ujue hana pesa ila sio kama hataki bia anajikaza kiume ili we ulewe akupige ukuni vizuri