Wanaume wanalalamika wakisoma Stori/Hadithi zangu za Mapenzi Wanadinda!


Hahaha... msamehe... ila wewe ni mwanamke... kufuatwa fuatwa ni lazima... haswa ukiwa open minded watu watakuzoea na kukuchokonoa... keep up with the positive vibes..

Cc: mahondaw
 
Sidhani kama mind yako iko sawa maana sijawahi kukuelewa mambo unayoongea yaani ni ilimladi uonekane umeongea.

Wahi kwa daktari akufanyie checkup bado mapema
 
Sidhani kama mind yako iko sawa maana sijawahi kukuelewa mambo unayoongea yaani ni ilimladi uonekane umeongea.

Wahi kwa daktari akufanyie checkup bado mapema
Kumbe shida ni dokta?!
Huwezi nielewa kama umeishia Darasa la 7 na form 4 yenyewe umepata division 0

Umeskia Smart911 Smart911 alivyosema hapo juu.. Am Open Minded

Ushazoea kuonea wanawake kwangu umecheleewaaa Abi?

Nenda kwa mwana saikolojia au Nenda kasome ukishaipata Masters au PHD uje tuongee meza moja

Kwa sasa utaendelea kuona kila thread nayoweka ni maluweluwe /mauzauza au nyota kwako

Ukishindwa kusoma nenda kaoshwe baharini huenda hukuaga kwenu

Unajua nashangaa sana zamani JF ilikuwa na wasomi sasa hivi tumevamiwa na school drop outs who wants to be like Billgates πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Honey 50thebe 50thebe Wanna be's wameongezeka Bongo Buana
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] hapa naona nakimbizana na chizi aliekwapua nguo zangu nikiwa naoga, nitakaeonekana chizi ni mimi naekukimbiza nikiwa uchi so wacha nikupotezee.

Ila nakushauri tena kamuone daktari bado mapema ikija kupanda ikazidi hapo ndio nitolee
 
Hahaha... msamehe... ila wewe ni mwanamke... kufuatwa fuatwa ni lazima... haswa ukiwa open minded watu watakuzoea na kukuchokonoa... keep up with the positive vibes..

Cc: mahondaw
Mwulize Kwanzaa anajua mana ya Open Minded Person
Tusije shindana na upepo tunajichosha bure!
Akatafute Elimu Kwanzaa ndio aje aelewe wana JF
Keshazoea vigorous anadhani na JF kuna wenye dhiki na vigodoro
 
Huna jipya sema Elimu yako ndogo usaidiwe
Kimbilia Elimu ya watu wazima Ma'am bado zinatolewa

Kuhusu videos hujatumiwa wewe almost eeeeverybody JF katumiwa
Hiloooo ur not that special wewe ni chenji tu
 

Money Penny shetani mbaya apitie mbali... relax... keep up with the positive vibes...

Cc: mahondaw
 
Msiokua na elimu ni lazima mjishaue ili muonekane mnazo
Mwulize Kwanzaa anajua mana ya Open Minded Person
Tusije shindana na upepo tunajichosha bure!
Akatafute Elimu Kwanzaa ndio aje aelewe wana JF
Keshazoea vigorous anadhani na JF kuna wenye dhiki na vigodoro
 
Nimekuuliza tu kwani nilikuambia unitumie?

Utaanzaje kuvua chupi hata hujatongozwa?
Huna jipya sema Elimu yako ndogo usaidiwe
Kimbilia Elimu ya watu wazima Ma'am bado zinatolewa

Kuhusu videos hujatumiwa wewe almost eeeeverybody JF katumiwa
Hiloooo ur not that special wewe ni chenji tu
 
Nimekuuliza tu kwani nilikuambia unitumie?

Utaanzaje kuvua chupi hata hujatongozwa?
Akili yako imejaa ngono ngono ngono zembe
anti nenda elimu bure
usishindane na wanawake wanaokuzaa hata mara 3
Usishindane na mwanamke ambae hana cha kupoteza
finally usishindane na mwanamke yeyote chini ya jua itakula kwako sikuzote
 
Sidhani kama kuna haja ya matusi bro, afu wanaume atutupiani maneno na mwanamke kwa style hiyo.....please naomba usisahau kanuni za suruhali.

Samahani lakini, kama nimekukwaza.
Unajua ndio mana nakupenda kweli ndugu yangu
Kha!
Kumbe kuna kanuni za Suruali?! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Huyo atakuwa mwananume wa Dar!
 
Unajua ndio mana nakupenda kweli ndugu yangu
Kha!
Kumbe kuna kanuni za Suruali?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo atakuwa mwananume wa Dar!
Na wewe mama me nikajua ushavuta shuka rafiki yangu.....kumbe bado macho kodo, fanya yameisha bhana, msamehe tu bure, alijisahau naona.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…