Wanaume wananitoroka kwa sababu ya ndevu

Wanaume wananitoroka kwa sababu ya ndevu

Enzi zangu nilikiwa napenda saana wanawake wenye ndevu, wenye mabesi(ukimkuta anaugulia ubooh na sauti lake,hii ni zaidi ya kumuona messi akimuangusja boateng) kuna wasagaji(vile unawapelekea moto wana'confess,ni raha tu, bichwa linavimba kama gudulia[emoji1787]), wakubwa walionizidi umri(vitoto havikuwahi kuninogea, ukinipa mtoto tunaweza kutoka mtwara na kigoma kisitokee kitu, ila mtu mzima,(msimbazii na aggrey mbali nishamaliza)1[emoji38][emoji1787][emoji23]

Sina budi kumshukuru mungu kumaliza ujana salama, na kumuomba msamaha wa marundo ya makosa niliyotenda[emoji17][emoji20]
 
Kuna dada mmoja wa Mbeya, sio kwa ndevu zile. Ukimuona kwa mbali na shape lake sio poa, akikukaribia dadeq sio poa!
Picha tafadhali [emoji1787][emoji1787]
 
Enzi zangu nilikiwa napenda saana wanawake wenye ndevu, wenye mabesi(ukimkuta anaugulia ubooh na sauti lake,hii ni zaidi ya kumuona messi akimuangusja boateng) kuna wasagaji(vile unawapelekea moto wana'confess,ni raha tu, bichwa linavimba kama gudulia[emoji1787]), wakubwa walionizidi umri(vitoto havikuwahi kuninogea, ukinipa mtoto tunaweza kutoka mtwara na kigoma kisitokee kitu, ila mtu mzima,(msimbazii na aggrey mbali nishamaliza)1[emoji38][emoji1787][emoji23]

Sina kumshukuru mungu kumaliza ujana salama, na kumuomba msamaha wa marundo ya makosa niliyotenda[emoji17][emoji20]
ujana maji ya moto
 
Sory Kwenye Ndoa Matumizi ya Chura ni nini mkuu??
Hamasa , stimulation hasa pale unapomuweka Dogg ukilipiga kofi likayumba kama mawimbi ya maji na linampendezesha sana mwanamke


Mwanamke ambaye hana chura kapigwa pasi ana tofauti gani na wanaume wa daslam au wale weupe wa kinyaturu mnakuwa sawa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hamasa , stimulation hasa pale unapomuweka Dogg ukilipiga kofi likayumba kama mawimbi ya maji na linampendezesha sana mwanamke


Mwanamke ambaye hana chura kapigwa pasi ana tofauti gani na wanaume wa daslam au wale weupe wa kinyaturu mnakuwa sawa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Chura kama chura [emoji848][emoji848]
 
ila shida ilitokea walipokuwa wanakumbatiana kwa salamu, mabubutu ya za nywele za kidevu yalimchoma mwenzake. Hilo lilimfanya yule mwanamume kutupa jicho la pili katika kidevu chake na ndipo akagundua shida yake.
Nimecheka na kugusa ndevu zangu mbili
 
Kwani nyembe ni kwa ajili ya kunyolea ndevu tu??-- kwani sehemu zingine za mwili hakuna "zile nywele"?!
kwenye ndevu zinatumika sana mkuu kuna wengine kila cku au baada ya siku 2 wananyoa
 
Back
Top Bottom