Wanaume wanaofika mshindo mara mbili pekee huwa na afya ya mwili na akili kuliko wale wanaozidisha

Wanaume wanaofika mshindo mara mbili pekee huwa na afya ya mwili na akili kuliko wale wanaozidisha

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Mtaalam wa saikolojia ya mapenzi na kungonoka ambaye amefanya Exclusive Interview nami GENTAMYCINE amesema kuwa 99% ya wanaume ambao hupenda kubandua (kutia ) bao mbili tu, huwa na afya njema na akili zao kuwa kubwa kuliko ile mipopoma inayopenda kufanya goli tatu (hat-rick ) au zaidi, ambao kwa 100% huwa na afya duni na uwezo wao wa kufikiri (kiakili) huwa ni mdogo na huwa hata hawana tija ya kimaendeleo katika familia na jamii zinazowazunguka.

Na kesho nakuja na kali kuliko zote!
 
Mtaalam wa saikolojia ya mapenzi na kungonoka ambaye amefanya Exclusive Interview nami GENTAMYCINE amesema kuwa 99% ya wanaume ambao hupenda kubandua (kutia ) bao mbili tu, huwa na afya njema na akili zao kuwa kubwa kuliko ile mipopoma inayopenda kufanya goli tatu (hat-rick ) au zaidi, ambao kwa 100% huwa na afya duni na uwezo wao wa kufikiri (kiakili) huwa ni mdogo na huwa hata hawana tija ya kimaendeleo katika familia na jamii zinazowazunguka.

Na kesho nakuja na kali kuliko zote!
Mkuu ukishakuwa na lishe hafifu inayodumaza afya huwezi kufikiri sawa sawa na yule aliye na afya nzuri. Akili huwa inadumaa, bao nyingi zinachosha na kupoteza nguvu ya mwili.
 
Mkuu ukishakuwa na lishe hafifu inayodumaza afya huwezi kufikiri sawa sawa na yule aliye na afya nzuri. Akili huwa inadumaa, bao nyingi zinachosha na kupoteza nguvu ya mwili.
Kwahiyo Wewe ni 'Team Mbili tu za Mkwezi' au ni 'Team Hat Trick' na Kuendelea Mkuu?
 
Mtaalam wa saikolojia ya mapenzi na kungonoka ambaye amefanya Exclusive Interview nami GENTAMYCINE amesema kuwa 99% ya wanaume ambao hupenda kubandua (kutia ) bao mbili tu, huwa na afya njema na akili zao kuwa kubwa kuliko ile mipopoma inayopenda kufanya goli tatu (hat-rick ) au zaidi, ambao kwa 100% huwa na afya duni na uwezo wao wa kufikiri (kiakili) huwa ni mdogo na huwa hata hawana tija ya kimaendeleo katika familia na jamii zinazowazunguka.

Na kesho nakuja na kali kuliko zote!
Endelea kujifariji siku ukigongewa ndio utawaelewa vizuri hao wanasaikolojia wako.
 
Mi nadhan
Hili la bao nyingi huwa chai,
Wengi hutumia kama majisifu TU ili kuwafrustrate wenzao wanaonekane miamba

Kiuhalisia,
Kwanza hao wanawake wa kuwapiga bao zote hizo wako wapi mkuu?
Au Mimi ndo sionani nao?

Hivi Hawa Hawa tunaishi nao mitaani au hao wanatokea sayari nyingine?
Wameumbwaje yaani?

Hivi Hizo bao 3+ Ni kwa Masaa mangapi wanatumia kuzipiga?
Na mwanamke unamkamia TU,amekodoa anakuangalia au amekufa?
 
Mtaalam wa saikolojia ya mapenzi na kungonoka ambaye amefanya Exclusive Interview nami GENTAMYCINE amesema kuwa 99% ya wanaume ambao hupenda kubandua (kutia ) bao mbili tu, huwa na afya njema na akili zao kuwa kubwa kuliko ile mipopoma inayopenda kufanya goli tatu (hat-rick ) au zaidi, ambao kwa 100% huwa na afya duni na uwezo wao wa kufikiri (kiakili) huwa ni mdogo na huwa hata hawana tija ya kimaendeleo katika familia na jamii zinazowazunguka.

Na kesho nakuja na kali kuliko zote!
Kwa nn sasa jamani? Wakati wengine tunapenda hata tupewe bao nne kwa siku hadi tuombe maji jamani, basi kama ni mbili ziwe na muda mrefu aio shwa shwa shwa mtu hoi sijapenda kwa kweli
 
Back
Top Bottom