Wanaume wanaojihusisha na Mapenzi ya Jinsia moja ruksa kujiunga na Upadre

Soma mwenyewe hapo uelewe ndugu, usiogozwe na kichwa cha habari maana mleta mada anaweza akawa hajui lugha
 
Mtalichafua sana kanisa, lakini halitachafuka.
 
Hili ni dhehebu langu KANISA MOJA TAKATIFU KATOLIKI LA MITUME ila Sasa hii ni too much.
Nafikiri ifike wakati Africa sasa ijitenge na Vatican iwe African Catholic na sio Roman Catholic.
Tuwe na kanisa linalodumisha Mila, tamaduni na desturi zetu sisi kama Waafrika.
Makadrinali na Maaskofu wa Africa huu ndio wakati wenu wa kuchora mstari mwekundu.
 
Kanisa, huku likiheshimu sana watu hao, haliwezi kuwaingiza seminary na kwenye Ordo Takatifu wale wanaofanya ushoga, wana mwelekeo wa ushoga uliojizatiti au wanaunga mkono kile kinachoitwa utamaduni wa mashoga," inasema miongozo hiyo.🙌🏿🙌🏿😭😭
 
Duh siwaoni hpa wale wazee wa uzushi wa bikra 72 hhhhh

Ukristo dah
 
Mimi naomba kuulizia la kizushi:
1. Mwizi hawezi kuja kuwa padri, mchungaji au shehe?
2. Muongo hawezi kuja kuwa padri, mchungaji au shehe?
3. Muuaji hawezi kuja kuwa padri, mchungaji au shehe?
4. Mzinzi hawezi kuja kuwa padri, mchungaji au shehe?
5. Mshirikina hawezi kuja kuwa padri, mchungaji au shehe?
6. Anayetamani mali au mke wa mtu hawezi kuja kuwa padri, mchungaji au shehe?

Kwa nini ushoga unaonekana kama 'dhambi maalum' na kwamba haistahili kusamehewa na binadamu?
 
.
 

Attachments

  • Screenshot_20241005_010637_WhatsAppBusiness.jpg
    324.7 KB · Views: 2
Katoriki siyo Kanisa la Mungu ujue!
Mungu anazidi kumdhihirisha Mpinga Kristo!
Vatcan ni Pango la Mashetani mf.Ushoga,Umafia,Madawa ya kulevya,nk
Wakatoriki shitukeni msiendelee kushiriki dhambi zake.
 
Papa alianza kitambo pole pole tu.
 

Attachments

  • Screenshot_20241005_010653_WhatsAppBusiness.jpg
    464.1 KB · Views: 2
Hili kanisa Sasa daaah ...wanaume tutunze vijambio vyetu ...umeenda Kwa paroko ghafla anakuomba umtindue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…