Mpemba Mimi
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 1,656
- 2,483
Njoo nikuinamishe...Achana na hivyo viingereza visivyo na tija.....Viingereza vingi, output kazini ni 0%....Eti Elimu...Wewe hauna Elimu kuliko Mimi (Nakuhakikishia)...Usione tunapiga story hapa JF....Niko na Elimu ya Kutosha, na Shughuli za maana za kufanya...Upeo wa a typical Isle man. Elimu ya darasa ni muhimu sana, this gap could have been filled
Kama una PhD ya Engineering or the like, sawa. Chini ya hapo bado hujanikuta....Niko na Elimu ya Kutosha, na Shughuli za maana za kufanya...
Mashoga wenyewe wanajijua kama ni mashoga. Wanasema homones zao zinawaambia hivyo. Kwahiyo wenyewe wanajijuaSasa mapadre hawaoi sasa watajuaje kama ni shoga au sio..
Ni kwasababu wanaamini kwamba shoga kaumbwa hivyo alivyoMimi naomba kuulizia la kizushi:
1. Mwizi hawezi kuja kuwa padri, mchungaji au shehe?
2. Muongo hawezi kuja kuwa padri, mchungaji au shehe?
3. Muuaji hawezi kuja kuwa padri, mchungaji au shehe?
4. Mzinzi hawezi kuja kuwa padri, mchungaji au shehe?
5. Mshirikina hawezi kuja kuwa padri, mchungaji au shehe?
6. Anayetamani mali au mke wa mtu hawezi kuja kuwa padri, mchungaji au shehe?
Kwa nini ushoga unaonekana kama 'dhambi maalum' na kwamba haistahili kusamehewa na binadamu?
Sasa ulidhani naongelea Tu-Masters???Kama una PhD ya Engineering or the like, sawa. Chini ya hapo bado hujanikuta
OK. Kama kaumbwa hivyo alivyo si ingelikuwa sahihi lawama au kama ni dhambi basi dhambi au lawama hizo zielekezwe kwa huyo aliyemuumba hivyo? Kwani yeye aliomba aumbwe hivyo?Ni kwasababu wanaamini kwamba shoga kaumbwa hivyo alivyo
Ndio maana wanalegeza masharti hata kuruhusiwa kuwa mapadre maana si makosa yake bali ya muumba wake according to wao.OK. Kama kaumbwa hivyo alivyo si ingelikuwa sahihi lawama au kama ni dhambi basi dhambi au lawama hizo zielekezwe kwa huyo aliyemuumba hivyo? Kwani yeye aliomba aumbwe hivyo?
WOOTE hao kuanzia na. 1- 6 na zaidi ya hao wanaweza kuja kuwa padri. (Sijui kuhusu mchungaji au shehe kwani mm sio wa Imani na miongozo inayohusika)Mimi naomba kuulizia la kizushi:
1. Mwizi hawezi kuja kuwa padri, mchungaji au shehe?
2. Muongo hawezi kuja kuwa padri, mchungaji au shehe?
3. Muuaji hawezi kuja kuwa padri, mchungaji au shehe?
4. Mzinzi hawezi kuja kuwa padri, mchungaji au shehe?
5. Mshirikina hawezi kuja kuwa padri, mchungaji au shehe?
6. Anayetamani mali au mke wa mtu hawezi kuja kuwa padri, mchungaji au shehe?
Kwa nini ushoga unaonekana kama 'dhambi maalum' na kwamba haistahili kusamehewa na binadamu?
Mimi pia hivyo hivyo!!! Na πππMmmmh Network error,
Halafu ujue kwamba hawa ndugu wanaotafsiri eti imeruhusiwa, watabarikiwa na blaa balaa nyingi hao sio wasemaji wa Vatican/Ofisi ya Papa. Ofisi yoyote ina utaratibu wa Mawasiliano. e.g. Wewe huwezi kujiamkia tu na kuanza kutoa habari e.g. Tanzania kumezuka kipindupindu cha hatari na Polisi wengi wamezagaa wako mitaani kuwasaka na kuwakamata wale wote wasio na vyoo.Ndio maana wanalegeza masharti hata kuruhusiwa kuwa mapadre maana si makosa yake bali ya muumba wake according to wao.
Upo sahihi mkuu, labda watueleze source ya habari yenyewe, kama ni document au videoHalafu ujue kwamba hawa ndugu wanaotafsiri eti imeruhusiwa, watabarikiwa na blaa balaa nyingi hao sio wasemaji wa Vatican/Ofisi ya Papa. Ofisi yoyote ina utaratibu wa Mawasiliano. e.g. Wewe huwezi kujiamkia tu na kuanza kutoa habari e.g. Tanzania kumezuka kipindupindu cha hatari na Polisi wengi wamezagaa wako mitaani kuwasaka na kuwakamata wale wote wasio na vyoo.
Hiyo habari ni Uzushi na Inazua hofu na mtafaruku miongoni mwa Jamii. Lazima Utashughulikiwa Kisheria.
Kwa mfano huo, Ofisi ya Papa inaye Msemaji wake na Taarifa au Maelekezo yoyote kutoka Ofisi hiyo huwa yanatoka kwa maandishi au Waraka wa Papa. Sio sawa kila anayejisikia aanze kutafsiri, kufafanua juu ya waraka huo au kuusambaza bila idhini ya mtoa Waraka. Hiyo ni fujo.
Ukiwadai source ya habari wataweka link ya BBC. Lugha rasmi (Official language for communication)ya mawasiliano Vatican ni Kilatini. Sasa wabongo na Kilatini wapi na wapi.Upo sahihi mkuu, labda watueleze source ya habari yenyewe, kama ni document au video
Hongera Kwa PhD, mimi nimegota hapa Shahada ya Uzamivu katika Uhandisi (Electronics & Telecomms.). Kwa umri huu huko PhD sitawezaSasa ulidhani naongelea Tu-Masters???