Wanaume wanaonyoa nywele zote(kipara)

lossoJR

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2012
Posts
2,711
Reaction score
2,384
nilisikia na ninaendelea kusikia kuwa wanaume wenye upara huwa waaminifu sana kwenye Mahusiano.
Nami sasa nimeamua kunyoa kipara nione pengine Nitakuwa muaminifu.
MNIOMBEE(in mkulu voice)
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mhhhhh kuna kijana anae
Nyoa kipara kweli wakat huu
 
Hakuna ukweli katka hilo in maneno tuu ya wahnga,,,.....
 
Hamna uhusiano wowote ktk hilo mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…