Wanaume wanaonyoa nywele zote(kipara)

Eti eeee. Basi jirani na wewe anza kunyoa kipara aisee. Ili upate kuwa mwaminifu kamili. [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Tatizo jirani kina umbo la pentagoni. Ukinyoa para si unakuwa kituko
 
nilisikia na ninaendelea kusikia kuwa wanaume wenye upara huwa waaminifu sana kwenye Mahusiano.
Nami sasa nimeamua kunyoa kipara nione pengine Nitakuwa muaminifu.
MNIOMBEE(in mkulu voice)
Kipara na uaminifu,hebu tuanzie kwanza kwa Zuma...
 
Tatizo jirani kina umbo la pentagoni. Ukinyoa para si unakuwa kituko
Hahahaaaa. Kwenye kuangalia uaminifu jirani huo ubaya wa kichwa tupa kule.

Sasa utafanyaje jirani? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
nilisikia na ninaendelea kusikia kuwa wanaume wenye upara huwa waaminifu sana kwenye Mahusiano.
Nami sasa nimeamua kunyoa kipara nione pengine Nitakuwa muaminifu.
MNIOMBEE(in mkulu voice)
Usipoteze muda hainaga ukweli
 
Hahahaaa. Sijawahi waza kama tabia ina uhusiano na kitu kama hicho.

We kama unanyoa kipara nyoa tu ila mwisho wa siku tabia zako zinabaki pale pale.
Usinikatishe tamaa mkuu[emoji52] nataka kuchange mwenzio
 
nilisikia na ninaendelea kusikia kuwa wanaume wenye upara huwa waaminifu sana kwenye Mahusiano.
Nami sasa nimeamua kunyoa kipara nione pengine Nitakuwa muaminifu.
MNIOMBEE(in mkulu voice)
Uaminifu ni hulka, tabia ya mtu. Si nywele za mtu.. wewe kama ni player hata kama ukinyoa ngozi yote itoke, utaendelea tu kuchepuka
 
Uaminifu upo ndani yako, kama huna uaminifu ujue kabisa hata ujichune ngozi ya kichwa bado utakuwa kiruka njia tu au mtu usiye aminika daiama
 
Uaminifu ni hulka, tabia ya mtu. Si nywele za mtu.. wewe kama ni player hata kama ukinyoa ngozi yote itoke, utaendelea tu kuchepuka
[emoji3][emoji3][emoji3] we jamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…