Wanaume wanaotumia mmea fulani wanakaa sana juu ya usukani kabla ya kufika wanakoenda

Wanaume wanaotumia mmea fulani wanakaa sana juu ya usukani kabla ya kufika wanakoenda

Mshangazi

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2024
Posts
1,143
Reaction score
4,462
Huu ni utafiti wangu binafsi nilioufanya kulingana na curiosity nilokuwa nayo kujua hili na lile katika masuala mazima ya udereva na jinsi madereva wanavyoliendesha gari langu kulingana na life style zao.

Nilichogundua ni kwamba wanaume ambao huwa wametumia ule mmea ambao hautajwi jina wana tabia ya kuendesha muda mrefu sana hadi kufika wanakoenda. Na wanakuwa offensive kiasi kwenye ku~handle usukani na mara nyingi wanafika wamechoka sana kiasi kwamba ni mara chache sana huwa wanarudia safari nyingine bila kupumzika kwa muda wa kutosha.

Najua wazoefu mpo humu. Ningetamani kujua sababu ya hii tendancy.
 
Mmea unaongeza metabolic rate (mmeng'enyo wa chakula )High energy release plus ganzi kidogo Kwa mishipa ya faham that means taarifa zinachelewa kwa ubongo kufika na kutoa feedback Kwa organ!!

Ndio maana huchelewa kufika safarini na wakishafika Hadi sense zirudi huchukua muda hadi mmea upungue damuni!!

Scientifical point of view!
 
Mmea unaongeza metabolic rate (mmeng'enyo wa chakula )High energy release plus ganzi kidogo Kwa mishipa ya faham that means taarifa zinachelewa kwa ubongo kufika na kutoa feedback Kwa organ!!

Ndio maana huchelewa kufika safarini na wakishafika Hadi sense zirudi huchukua muda hadi mmea upungue damuni!!

Scientifical point of view maam!
Wewe wamekubetua wangapi?
 
Mmea unaongeza metabolic rate (mmeng'enyo wa chakula )High energy release plus ganzi kidogo Kwa mishipa ya faham that means taarifa zinachelewa kwa ubongo kufika na kutoa feedback Kwa organ!!

Ndio maana huchelewa kufika safarini na wakishafika Hadi sense zirudi huchukua muda hadi mmea upungue damuni!!

Scientifical point of view maam!

INTERESTING ...
 
Ili utafiti wako uwe na mashiko inabidi idadi iwe juu ya 80% yaan kwenye 10 basi 8 wawe mandingo himself, tupe idadi km mmoja basi bado bado endelea kufanya utafiti wako kisha utuletee majibu sahihi

Kukutana nao ni rare coz wanajificha.
wewe kama unawajua watag hapa nikawafanyie research
 
From my vew of points...
A woman who can remain objective, logical, and pragmatic in any situation is an intelligent woman. A woman who is compassionate and genuinely kind is an emotionally intelligent woman. Intelligent women can also read others well, respond to others well, and be with others well...☺
 
Back
Top Bottom