Wanaume wanaotumia mmea fulani wanakaa sana juu ya usukani kabla ya kufika wanakoenda

Wanaume wanaotumia mmea fulani wanakaa sana juu ya usukani kabla ya kufika wanakoenda

ni jinsi nyie wanawake mnavyowachukulia wanaume wahuni wahuni tu hamna lolote

hata sisi tuna story zetu za uongo wa kweli utasikia ya mnene inabana, ya mwembamba haibani... maneno maneno tu ya kuongea tukikosa kazi za kufanya
 
Nikinywa nyagi au beer hasa kilimanjaro mara nyingi Huwa nachelewa ku release wakati mwingine naweza zira mchezo baada ya kuona nime last long sana without releasing!!!!

The same will apply to mmea takers when driving!
Kwa hio mibia ya ngano na mikeivant minyagi pia inanyanyua stamala?
 
ndio maana yanaingoza kwa kupata ajali kuua watu wengi kwa sababu breki huisha mapema na vifaa vingine kuharabika kwa sababu ya undeshaji mbovu mwisho wa siku gari jpya kuchakaa kwa mwezi mmoja. UTI vs GoNo vs AIDs.
tafadhali slowdown your speed there is steeo hill ahead take care.
 
Ume confirm kua hili ni dume?

😅😅😅
Tangu ajitambulishe yupo jobwuni huyu, anataka kuvuta kwa triki zote ila anachemsha hana maujanja. Arudi kujiongeza au sio jobwu yake hii imemshindwa. Aende kwingine KUJARIBU
 
Huu ni utafiti wangu binafsi nilioufanya kulingana na curiosity nilokuwa nayo kujua hili na lile katika masuala mazima ya udereva na jinsi madereva wanavyoliendesha gari langu kulingana na life style zao.

Nilichogundua ni kwamba wanaume ambao huwa wametumia ule mmea ambao hautajwi jina wana tabia ya kuendesha muda mrefu sana hadi kufika wanakoenda. Na wanakuwa offensive kiasi kwenye ku~handle usukani na mara nyingi wanafika wamechoka sana kiasi kwamba ni mara chache sana huwa wanarudia safari nyingine bila kupumzika kwa muda wa kutosha.

Najua wazoefu mpo humu. Ningetamani kujua sababu ya hii tendancy.
Kwanza wakati wa safari dereva anakua hana hata hama ya safari yenyewe ni kama
Wewe abiri unamlizimisha akuendeshe maba ule mmea haukupi ham yoyote ila akipata gari kama ni kuendesha anaendesha kweli
 
Ubaya wa mrungi na kaya ni kwamba usingizi hauji na mishipa aipoi labda ujiongeze unywe maji mengiii...
Mshangazi nimekuja pm siku ya tatu sasa no kukaribishwa wala kupokewa mizigo
 
Huu ni utafiti wangu binafsi nilioufanya kulingana na curiosity nilokuwa nayo kujua hili na lile katika masuala mazima ya udereva na jinsi madereva wanavyoliendesha gari langu kulingana na life style zao.

Nilichogundua ni kwamba wanaume ambao huwa wametumia ule mmea ambao hautajwi jina wana tabia ya kuendesha muda mrefu sana hadi kufika wanakoenda. Na wanakuwa offensive kiasi kwenye ku~handle usukani na mara nyingi wanafika wamechoka sana kiasi kwamba ni mara chache sana huwa wanarudia safari nyingine bila kupumzika kwa muda wa kutosha.

Najua wazoefu mpo humu. Ningetamani kujua sababu ya hii tendancy.
Mrungi au Bangi?
 
Huu ni utafiti wangu binafsi nilioufanya kulingana na curiosity nilokuwa nayo kujua hili na lile katika masuala mazima ya udereva na jinsi madereva wanavyoliendesha gari langu kulingana na life style zao.

Nilichogundua ni kwamba wanaume ambao huwa wametumia ule mmea ambao hautajwi jina wana tabia ya kuendesha muda mrefu sana hadi kufika wanakoenda. Na wanakuwa offensive kiasi kwenye ku~handle usukani na mara nyingi wanafika wamechoka sana kiasi kwamba ni mara chache sana huwa wanarudia safari nyingine bila kupumzika kwa muda wa kutosha.

Najua wazoefu mpo humu. Ningetamani kujua sababu ya hii tendancy.
Sijui sababu, lakini usemacho ni kweli
 
Watu8 ....

Weka neno tafadhali la kiutafiti, kitaalam na uzoefu....😅😅😅.

Usipotokea pancha inakuhusu.
 
Back
Top Bottom