mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Ndio hivyo sasa na hachagui mlango wa kuingia anapita milango yoteMtu kashakula zake mabange haelewi ye nikupeleka moto tu
Stimu hua zinalipiwa hakuna sehemu utapata stimu za bureni jinsi nyie wanawake mnavyowachukulia wanaume wahuni wahuni tu hamna lolote
hata sisi tuna story zetu za uongo wa kweli utasikia ya mnene inabana, ya mwembamba haibani... maneno maneno tu ya kuongea tukikosa kazi za kufanya
Scientific view point!Wewe wamekubetua wangapi?
Kwa hio mibia ya ngano na mikeivant minyagi pia inanyanyua stamala?Nikinywa nyagi au beer hasa kilimanjaro mara nyingi Huwa nachelewa ku release wakati mwingine naweza zira mchezo baada ya kuona nime last long sana without releasing!!!!
The same will apply to mmea takers when driving!
Hii koment inathibitisha ni dume wewe, Tena unafanana kabisa na mwandiko wa "popoma".Unataka na wewe nikuite mwanamke?
Au unashangaa navyoandika tofauti na dada ako
Njoo uongeze researchKukutana nao ni rare coz wanajificha.
wewe kama unawajua watag hapa nikawafanyie research
Kilikatika na moto nikiwa mdogo.Wewe huna kizinio?
uzinzi umehusikaje hapa wakati yameongelewa magari? Au ni D mbili sina!Ngoja wazinzi waje kufunguka.
Hilo liko waziHii koment inathibitisha ni dume wewe, Tena unafanana kabisa na mwandiko wa "popoma".
dua hyo kaandika ustadh mmoja kabla hajaenda kutoa adhanaKimeandikwa kiarabu hapo soma ukiwa umefumba macho utaelewa
Heshimu hisia zakoSijui kwanini siamini kama wewe ni ke? Kila nikisoma nyuzi zako akili inaniambia wewe ni lijamaa lililoamua kujitoa ufahamu.
Ume confirm kua hili ni dume?
Kwanza wakati wa safari dereva anakua hana hata hama ya safari yenyewe ni kamaHuu ni utafiti wangu binafsi nilioufanya kulingana na curiosity nilokuwa nayo kujua hili na lile katika masuala mazima ya udereva na jinsi madereva wanavyoliendesha gari langu kulingana na life style zao.
Nilichogundua ni kwamba wanaume ambao huwa wametumia ule mmea ambao hautajwi jina wana tabia ya kuendesha muda mrefu sana hadi kufika wanakoenda. Na wanakuwa offensive kiasi kwenye ku~handle usukani na mara nyingi wanafika wamechoka sana kiasi kwamba ni mara chache sana huwa wanarudia safari nyingine bila kupumzika kwa muda wa kutosha.
Najua wazoefu mpo humu. Ningetamani kujua sababu ya hii tendancy.
madmen know nothing! So iam.uzinzi umehusikaje hapa wakati yameongelewa magari? Au ni D mbili sina!
Mrungi au Bangi?Huu ni utafiti wangu binafsi nilioufanya kulingana na curiosity nilokuwa nayo kujua hili na lile katika masuala mazima ya udereva na jinsi madereva wanavyoliendesha gari langu kulingana na life style zao.
Nilichogundua ni kwamba wanaume ambao huwa wametumia ule mmea ambao hautajwi jina wana tabia ya kuendesha muda mrefu sana hadi kufika wanakoenda. Na wanakuwa offensive kiasi kwenye ku~handle usukani na mara nyingi wanafika wamechoka sana kiasi kwamba ni mara chache sana huwa wanarudia safari nyingine bila kupumzika kwa muda wa kutosha.
Najua wazoefu mpo humu. Ningetamani kujua sababu ya hii tendancy.
Sijui sababu, lakini usemacho ni kweliHuu ni utafiti wangu binafsi nilioufanya kulingana na curiosity nilokuwa nayo kujua hili na lile katika masuala mazima ya udereva na jinsi madereva wanavyoliendesha gari langu kulingana na life style zao.
Nilichogundua ni kwamba wanaume ambao huwa wametumia ule mmea ambao hautajwi jina wana tabia ya kuendesha muda mrefu sana hadi kufika wanakoenda. Na wanakuwa offensive kiasi kwenye ku~handle usukani na mara nyingi wanafika wamechoka sana kiasi kwamba ni mara chache sana huwa wanarudia safari nyingine bila kupumzika kwa muda wa kutosha.
Najua wazoefu mpo humu. Ningetamani kujua sababu ya hii tendancy.