Hii ni hoja dhaifu sana--huwezi kufananisha mavazi ya kitamaduni na uvaaji wa hareni na shanga (kiunoni) kwa wanaume. Wamasai na makabaila mengine ya wafugaji wamekuwa wakisuka rasta tangu zama za kale. Huwezi kutumia kigezo hicho dhaifu kuhalalisha ukengeufu wa kuvaa chachandu na hereni kwa wanaume. Mimi swali langu ninalouliza ni kwamba WANAUME HUVAA HERENI, SHANGA NA MIKUFU ILI IWEJE? Je, wasipovaa watakosa nini ambacho wanakifaidi pindi wakivaa vifaa hivi vya KIKE? Swali langu ni rahisi sana--sijui kwanini unarefusha hii mada kwa kuuzunguka mbuyu.
Wanaume wanaovaa cheni na hereni wanataka nini???!!!
Hilo ndilo swali lako la msingi sasa likijibiwa kwa mapana unaona nazunguka mbuyu????!!!
La chachandu unalizua sasa ili kuleta chaos na confussion,otherwise edit heading yako!!!!
Nimekujibu ninalolijua juu ya maasai kuwa ni mila imeprescribe nikaongeza na mfano wa bangili kwa masinga wa kiume na wao maana yao ni hard working and responsible (kama nakumbuka vizuri)
Aliokwambia kuwa wakivaa wanafaidi ni nani,au wanavaa ili wafaidi ni nani na unaposema kufaidi operational definition ya kufaidi hapa ni ipi????!!!!!
Halafu nani anasema bangili na mikufu ni vya kike na je unaweza sema bangili na brecelet viko kundi moja kwa mfano?????!!!!
Ukitaka hoja ijadiliwe kama wote ni watoto wa baba mmoja,kabila moja,dini moja na tumelelewa katika context moja utakuwa unakosa a sense of cultural relativism na utakuwa unagubikwa na hila ya cultural ethnocentrism!!!!!!
Mimi kwa mfano ni nusu Maasai nusu Mnubi na ni Muislam sasa umasaini mi siulizwi lolote kama naamua kuvaa mkufu au bangel ila Uislam hauruhusu!!!!!
Unaona hiyo diversity sasa ila siwezi kuwa stigmatized kuwa haya ni marembo ya kike!!!!!
Maada yako ni ndefu sana kwa nature yake na ukitaka kulazimisha iwe fupi basi utakuwa huelewi tye logic behind your very own puzzle!!!!!