sandramalando
Member
- Oct 25, 2016
- 37
- 16
Ngoja nami nichunguze mkuuhata wanawake,pia wako hivi kwa utafiti wangu nilipo.
sawaaaaaaa urudi,tena utuambie umegundua ninNgoja nami nichunguze mkuu
saa huwakilisha umakini na kujielewa kwa mwanaume....ukiona hivyo ni utoto unawasumbua..wazungu wanasema you can judge a man by a watch he posseshakika umesema na utafiti wako ni waukweli kabisa
tena mwingine saa yake haina mishale yoteπππππππsaa huwakilisha umakini na kujielewa kwa mwanaume....ukiona hivyo ni utoto unawasumbua..wazungu wanasema you can judge a man by a watch he posses
Alafu mbaya zaidi wanawake wanavaa za wanaume tena mkono wa kushoto.hata wanawake,pia wako hivi kwa utafiti wangu nilipo.
yaani siipendi hii tabia aisee huwa nawafananisha na matomboy...unajua saa ni sacred thing kwa wanaozielewa aiseeAlafu mbaya zaidi wanawake wanavaa za wanaume tena mkono wa kushoto.
hahahaha...kweli mkuuAlafu mbaya zaidi wanawake wanavaa za wanaume tena mkono wa kushoto.
Hata ww umeliona mkuuhakika umesema na utafiti wako ni waukweli kabisa
Mkuu nimekutana nae Leo nikajiuliza hiyo mishale huwa inadondokea wapitena mwingine saa yake haina mishale yoteπππππππ
Mkuu zi wako huoumesahau na wanawake wanaobeba wallet kubwa lkn ndani hakuna hela...zimejaa dressing table..
Asante mkuuMhhh ukweli mtupu wewe ni zaidi wa wale watafiti wa mwaka Jana!