Bakulutu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2011
- 2,557
- 1,787
Bora hata za kwetu wanaume hazisomi majira, za kwenu ndio nyingi mbovu haziendi kabisa, na yakwangu seico 5 ya uridhi niki lala nayo ina lala [emoji1] [emoji1] [emoji1]Habari zenu,nimejaribu kufanya utafiti kidogo nikagundua asilimia kubwa ya wanaume wanaovaa SAA za mkononi huwa hazisomi majira.sasa hii INA umuhimu wani wa kuvaa kitu ukaonekana mtanashati kumbe SAA kopo?mnatia aibu jamani