Bora hata za kwetu wanaume hazisomi majira, za kwenu ndio nyingi mbovu haziendi kabisa, na yakwangu seico 5 ya uridhi niki lala nayo ina lala [emoji1] [emoji1] [emoji1]Habari zenu,nimejaribu kufanya utafiti kidogo nikagundua asilimia kubwa ya wanaume wanaovaa SAA za mkononi huwa hazisomi majira.sasa hii INA umuhimu wani wa kuvaa kitu ukaonekana mtanashati kumbe SAA kopo?mnatia aibu jamani
Hamna mkuuNini hasa lilikuwa kengo la utafiti wako? Nani kagharimia utafiti huo? Na je siyo kweli kuwa unatumiwa na mataifa ya nje kuleta uchochezi hasa wakati huu ambao tumewadhurumu waathirika wa tetemeko la Kagera misaada waliyochangiwa?
Peleka mwayaKesho saa yangu napeleka Kwa fundi
Pola mkuuDaaaaaah
Kama unamaanisha hizi saa za mkononi
Huu uzi umenigusa mimi moja kwa moja. Hapa nilipo Nimevaa ka saa kangu ka disco lakini ni kimeo.
Mkuu sio mmCha kushangaza nyie nyie ndio mnaoziomba et babe nimeipenda saa yako naiomba
Sawa mkuu wenzako wanatusumbua sana tuwape izo saa mbovuMkuu sio mm
Mkuu hayo majipuSawa mkuu wenzako wanatusumbua sana tuwape izo saa mbovu
Hahaha umetisha mkuuHata na mabeg ya mgongoni wengine tunawekaga deki mkijua laptop.
Jitetee MKUU, bora usovae kuliko kushusha hadhi yako.SAA inaonekana ila cm ionekani mfukoni bhn
Hahaha haya mkuuUtafiti umechukua nafasi yake uje ufanye utafiti hata huku kijijini maana wote mnafanyia utafiti mjini tu
Mkuu ndicho ulichokionaHadhi inapandishwa na note 5 na iphone nilizo nazo mkuu
Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
Hats wewe umefatilia ndio maana umecomentkwani we saa ikiwa haisomi majira inakudhuru nini? kazi kufuatilia maisha ya watu
Nakukaribisha sanaHahaha haya mkuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hata na mabeg ya mgongoni wengine tunawekaga deki mkijua laptop.