Wanaume wanapaswa kulipwa zaidi ya wanawake kwa sababu ya expectations za jamii zetu

Wanaume wanapaswa kulipwa zaidi ya wanawake kwa sababu ya expectations za jamii zetu

Mshangazi dot com

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
1,345
Reaction score
3,503
Leo nilikua nimekaa kwenye Cafe flani nikasikia mazungumzo ya watu nyuma yangu wanabishana kuhusu malipo na mishahara ya watumishi wa serikali kati ya wanawake na wanaume.

Kwamba wanaume wanapaswa kulipwa zaidi ya wanawake kwa sababu ya expectations za jamii zetu na familia juu yao ni kubwa na wana majukumu mengi zaidi ya wanawake. Mmoja alikua nasema viwango vya mishahara visiwe sawa hata kama mwanamke anafanya kazi sawa na colleague wake ambaye ni mwanaume.

Je unakubaliana na hicho walichokua wanasema?
 
Wangekuwa majobless wasingekuwa na mada kama hizo!

Ni ishara wameshibaa hao!

Samaleko
 
Kwa upande wetu mwanamke anatuzid mshahara sehemu mmoja tu hela ya pedi wanalipwa kila mwezi
 
Leo nilikua nimekaa kwenye Cafe flani nikasikia mazungumzo ya watu nyuma yangu wanabishana kuhusu malipo na mishahara ya watumishi wa serikali kati ya wanawake na wanaume.

Kwamba wanaume wanapaswa kulipwa zaidi ya wanawake kwa sababu ya expectations za jamii zetu na familia juu yao ni kubwa na wana majukumu mengi zaidi ya wanawake. Mmoja alikua nasema viwango vya mishahara visiwe sawa hata kama mwanamke anafanya kazi sawa na colleague wake ambaye ni mwanaume.

Je unakubaliana na hicho walichokua wanasema?
At least walikuburudisha and ukawa na mlo mzuri kwa maana hizo ni stori za alufu ulela ulela tu, kwa maana ya kwamba hata tukisema tuujadili huo mjadala hapa tufanye hivyo kwa kujifurahisha kama ambavyo hao mabwana walivyokua wanajifurahisha, ila ki uhalisia hiyo ni kitu ambayo haitakaa kitokee.
 
Back
Top Bottom