Wanaume wanasura nzuri kuliko wanawake

Wanaume wanasura nzuri kuliko wanawake

Mh!hili nalo jipu jipya haya basi we ni Mzuri kuliko mama ako.
 
Kwa utafiti wangu nilioufanya kwa muda mrefu hatimaye leo nathubutu kusema kuwa sisi wanaume tuna sura nzuri kuliko wanawake.

Ukitaka kuthibitisha hilo, wanaume huwa hatuna mambo mengi tukitaka kutoka unapakaa mafuta yako ya mgando unachana nywele zako chapu chapu umemaliza.

Hatuchukui zaidi ya dak 45 kujiandaa

Lakini kwa wanawake wanachukua zaidi ya masaa matatu kupaka ma make up ya kufa mtu ili abadilike kwa kuwa wengi wao wakitoka bila make up huwa hawavutii kabisa.

Kingine kinachothibitisha kuwa sisi ni wazuri zaidi ya wanawake ni kitendo cha kuoa wanawake zaidi ya mmoja.

Yani wanawake 10 wanatafuta nafasi ya kuolewa na mtu mmoja na kati ya hao wanne tu ndo wanachaguliwa.

Lakini kutokana na wazungu kuwa washenzi wamebadilisha hii kitu.

Eti leo hii wanaume ndo tunawahangaikia wanawake badala ya wao kutugombania sisi.
Wewe utakuwa ni mwanaume wa Dar!
 
Kwa utafiti wangu nilioufanya kwa muda mrefu hatimaye leo nathubutu kusema kuwa sisi wanaume tuna sura nzuri kuliko wanawake.

Ukitaka kuthibitisha hilo, wanaume huwa hatuna mambo mengi tukitaka kutoka unapakaa mafuta yako ya mgando unachana nywele zako chapu chapu umemaliza.

Hatuchukui zaidi ya dak 45 kujiandaa

Lakini kwa wanawake wanachukua zaidi ya masaa matatu kupaka ma make up ya kufa mtu ili abadilike kwa kuwa wengi wao wakitoka bila make up huwa hawavutii kabisa.

Kingine kinachothibitisha kuwa sisi ni wazuri zaidi ya wanawake ni kitendo cha kuoa wanawake zaidi ya mmoja.

Yani wanawake 10 wanatafuta nafasi ya kuolewa na mtu mmoja na kati ya hao wanne tu ndo wanachaguliwa.

Lakini kutokana na wazungu kuwa washenzi wamebadilisha hii kitu.

Eti leo hii wanaume ndo tunawahangaikia wanawake badala ya wao kutugombania sisi.
Mkuu unataka kusema kwa uzuri wako huo, dada yako akiachika unaweza olewa wewe?
 
Ni kwa sababu sie wanaume tuko natural, wanawake walio wengi yaani Zaidi ya 90% wako fake. Kucha za bandia, nywele za marehemu, makalio ya wachina, yaani full vituko kisha watakuambia wanataka mwanamme ambaye yuko real wakati wao wako fake. Talk about nyani haoni kundule. Mixuuuu, pathetic.
 
Back
Top Bottom