wanaume,wanaume,mmmh!!!

wanaume,wanaume,mmmh!!!

Mie niliwahi kudanganywa jamaa halijaoa kumbe limeacha mke wa ndoa na na watoto wawili kijijini likakaa mjini kwa muda wote bila mawasiliano na wife wake.
Likanivika na engagement ring kudadadeki haya majamaa yana roho za chuma cha pua.
Ndo maana uncle wangu alinambia asilimia 60 za kwake 40 za kwako ila bado naona kama 40 ziwe zake 60 zangu:redfaces::redfaces:

olalaa:redfaces: washindwe na na naninihii zao zilegee
 
Mie niliwahi kudanganywa jamaa halijaoa kumbe limeacha mke wa ndoa na na watoto wawili kijijini likakaa mjini kwa muda wote bila mawasiliano na wife wake.
Likanivika na engagement ring kudadadeki haya majamaa yana roho za chuma cha pua.
Ndo maana uncle wangu alinambia asilimia 60 za kwake 40 za kwako ila bado naona kama 40 ziwe zake 60 zangu:redfaces::redfaces:
Pole sana....kwa hiyo huyu wa sasa zake 40% tu?
 
Pole mwaya ndo viumbe hawa walivyo mie niliacha kwa matangazo mpaka likaona aibu nakwambia nikaenda hadi kwa mkewe eti lilishaenda na kwetu kutoa barua jamani mijanaume hiii mi akina Asprin mie naichukia bora yote ife tu tubaki wenyewe humu duniani ahhh

nashindwa kuelewa mioyo ya baadhi ya kinababa ikoje.kama mazimwi.
 
wengine Mazingira huwa yanachangia kuwafanya wawe hivyo all in all ni miongoni mwa pilika pilika na kukuru kakara za hapa chini ya jua
 
hivi kwanini wanaume huwa hawasemi ukweli jamani?anaweza akakutongoza na kukuonyesha anakupenda kabisa na akakufatilia kwa kila hali mpk ukaamini kuwa anakupenda,kumbe mwenzio anataka kupita tu ww ndo ukajiweka mazima moyo na mapafu pia.siku akikuchoka anakumwaga km hamjawahi kuwa watupu hata siku moja.kwanini lakini wanaume mpo hivyo?????????????????????????
Yeye ajua anachokitafuta... wewe hujui unachokitafuta...Unauvaa tu!!
 
utafiti unaonyesha ukiwa mkweli kwa mwanamke utapigwa chini na kutoswa fasta!, we danganya na kumwaga fiksi nyingi aaaaaaah utampata kiulaini.
 
hivi kwanini wanaume huwa hawasemi ukweli jamani?anaweza akakutongoza na kukuonyesha anakupenda kabisa na akakufatilia kwa kila hali mpk ukaamini kuwa anakupenda,kumbe mwenzio anataka kupita tu ww ndo ukajiweka mazima moyo na mapafu pia.siku akikuchoka anakumwaga km hamjawahi kuwa watupu hata siku moja.kwanini lakini wanaume mpo hivyo?????????????????????????

Pole kwa kuumizwa
Ila siyo wote, pia inategemea na wewe ulimwonyesha katabia gani mpaka akakuona apite tu basi
 
Mwasu ndugu yangu, nasi huu ni wakati wa kukaa mguu mmoja ndani na mwingine nje, akikuambia maneno 10 ya nakupenda, chukua hapo maneno mawili tu na hayo mengine nane mwachie mwenyeweeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!

Dawa ni moja tu, kabla hajakupiga kibuti muwahi yy kwanza, na kama ikitokea ukachelewa siku tu akikwambia basi mwambie hata hivyo na shukuru umenisaidia kuanza kusema na mimi ndio nilikua nafikiria nitakuanzaje, habari ndio hiyooooo.
 
Dawa ni moja tu, kabla hajakupiga kibuti muwahi yy kwanza, na kama ikitokea ukachelewa siku tu akikwambia basi mwambie hata hivyo na shukuru umenisaidia kuanza kusema na mimi ndio nilikua nafikiria nitakuanzaje, habari ndio hiyooooo.

Nimeipenda hii na inaweza kutumika na pande zote. Ila kuna watu wengine ving'ang'anizi bana. Hata ufanyeje wapo tu
 
Back
Top Bottom