wanaume,wanaume,mmmh!!!


olalaa:redfaces: washindwe na na naninihii zao zilegee
 
Pole sana....kwa hiyo huyu wa sasa zake 40% tu?
 

nashindwa kuelewa mioyo ya baadhi ya kinababa ikoje.kama mazimwi.
 
wengine Mazingira huwa yanachangia kuwafanya wawe hivyo all in all ni miongoni mwa pilika pilika na kukuru kakara za hapa chini ya jua
 
Yeye ajua anachokitafuta... wewe hujui unachokitafuta...Unauvaa tu!!
 
utafiti unaonyesha ukiwa mkweli kwa mwanamke utapigwa chini na kutoswa fasta!, we danganya na kumwaga fiksi nyingi aaaaaaah utampata kiulaini.
 

Pole kwa kuumizwa
Ila siyo wote, pia inategemea na wewe ulimwonyesha katabia gani mpaka akakuona apite tu basi
 
Mwasu ndugu yangu, nasi huu ni wakati wa kukaa mguu mmoja ndani na mwingine nje, akikuambia maneno 10 ya nakupenda, chukua hapo maneno mawili tu na hayo mengine nane mwachie mwenyeweeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!

Dawa ni moja tu, kabla hajakupiga kibuti muwahi yy kwanza, na kama ikitokea ukachelewa siku tu akikwambia basi mwambie hata hivyo na shukuru umenisaidia kuanza kusema na mimi ndio nilikua nafikiria nitakuanzaje, habari ndio hiyooooo.
 
Dawa ni moja tu, kabla hajakupiga kibuti muwahi yy kwanza, na kama ikitokea ukachelewa siku tu akikwambia basi mwambie hata hivyo na shukuru umenisaidia kuanza kusema na mimi ndio nilikua nafikiria nitakuanzaje, habari ndio hiyooooo.

Nimeipenda hii na inaweza kutumika na pande zote. Ila kuna watu wengine ving'ang'anizi bana. Hata ufanyeje wapo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…