wanaume,wanaume,mmmh!!!

Ki utafiti na mimi navyojua siku zote mwanamke ukimwambia ukweli kuna asilimia ndogo sana ya kumpata, mfano mwambie wewe sio player atajua unajifagilia ila kicheche. Pia kweli wewe una uwezo ukimwambia una uwezo atajua fixi unataka umtege tu. Atakwambia gari lenyewe umeazima na hauni pati, na ukimdanganya una asilimia kubwa ya kumpata. Ni vizuri wote kuwa wa kweli, japokua pia inasemekana kwamba wazuri hupata wabaya na wabaya hupata wazuri.Blög Sicä | Welcome to Blog Sica!!!
 
wanaume wengi wako hivyo ili kuwafubdisha na kuwapa elimu juu kina dada juu ya jinsi wanaule walivyo
 
oooh pole saaana aisee,ndo tulivyo sie,ukituonjesha utamu kama hautufai tunasepa,kama unatufaa tunabaki.
Cha msingi usionjeshe wengi tu
 

...huenda wanawake wengi hawasikilizi na kuyatilia maanani maneno wanayotongozewa.
Wengi hawachunguzi ?, " ", !, na __-__-__zinatumikaje na wanaume...
 
Sasa homework mngepata wapi jamani...ndio tulivyo ila sio wote
 

Yaani umeongea kwa mtiririko wa habari ya Mpanzi alioitoa Bwana Yesu kwenye Bible.
 
Wengi ya wanawake wanapenda kudanganywa wenyewe kutokana na maringo yao ila siyo wamume wote

Mwasu joole!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…