wanaume,wanaume,mmmh!!!

mimi nampa offer ya dinner after lunch yako ili aone kibamia/kimbilimbi kinavyofanya kazi au sio kaka

Yaani Ferds uaniruka hivi hivi haiwezekani naandamana aisee!!! Nione mara ngapi?
 
aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah Maty pokea busu langu basi

hili la vibamia kuna watu wanaumia ujue mwe taratibu dena, jamani hapa ni nguvu ya keyboard tu mdada akikupenda kwa dhati we acha tu yote tunayolalamika humu hata hatuyaonagi (mwe wadada msinishambulie kwani uongo)
 
Tena naona walioguswa Ferds, Kimey na Babu (Asprin) sijui inawahusu au wanawatetea walionavyo????

No hawa ni watu ambao wanapinga cause ni kama unyanyapaa so wanawatetea wenzao ni sawa na wao wakisema labda hawataki wanawake waliopigwa pasi au wenye viguu vyembamba au wenye maziwa makubwa itakuwa sio vizuri kwa hiyo hao watu hawawezi pendwa? Kuna mtu alisema hutakiwi oa mwanamke mwenye sura mbaya sasa sisi wenye sura mbaya ndio tusiolewe jamani? Kingine binadamu tumeumbwa tofauti hata sisi wanawake kuna wenye maumbile makubwa usipime hata akutane na ya kati ye itakua kibamia kwake na kuna wanawake ambao wamejaaliwa mtalimbo ukiingia unafiti ukitoka inarudi katika hali ya kawaida na kibamia kikiingia vile vile kina fiti achana na mungu kabisa
 

Tutaongea chemba hapa kuna watoto:shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth:
 
Asprin ushanihamisha leo na wewe sasa iyo avatar ndo nini mi sipendi wenye aibu unaniangusha

Thats Kibaioloji Bamia suporters calling....you have been warned!
 

Aiseeeeee mimi nakupendaje wewe mtoto, yaani uanavyodadavua mambo ........................... utakuwa umeenda unyago wewe c kipolepole......................... nakuongezea busu lingine ktk ugoko.............mwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Tutaongea chemba hapa kuna watoto:shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth:


mpe nafac acha amwage vitu, patalokota benyewe kunyavu wewe, mtoto hawezi kuja hapa huyo mkubwa huyo
 

hawa wanaume baba yao mmoja yaani ni kama walirogwa vile.me washanichosha ati hakuna kuzama mazima
 
Yaani Ferds uaniruka hivi hivi haiwezekani naandamana aisee!!! Nione mara ngapi?

Mh basi mama ya uchawini yaishie uchawini crudii tena kukucharura.........................ila dinner c utakuja eti eehh
 
hawa wanaume baba yao mmoja yaani ni kama walirogwa vile.me washanichosha ati hakuna kuzama mazima

Welcome aboard FL............................................................ I personally missed you much
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…