[emoji1] [emoji1] [emoji1] easy to carryAsante Mungu kumbe na sisi tuliopigwa pasi tunapendwa
Nimefanyaje tenaUmemuonaa mdogo wako??
EwaaaHahaha nitakuja kukuchukua ujiandae
Mke sijuii nimeandika niniNdo lugha gani hiyo
Ratiba zitakuja tuHajawekaa ratibaa zao lakini
HahaUmekuwa young eenh
Hapana nyie katolewa mr list.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkimtoa mtutolee Le kokobanga twende sawa
Mawota yapiii hayo ya ziwani auAu utamuogeshaa kwenye mawooootaaaa yaleee ??
He he[emoji1] [emoji1] [emoji1] easy to carry
Huyu namshangaa haogopiii makofii yakoNamzooooom tuu
Kwakweli bora tuhame kundi kabisa.Mie wa nje ya tz ...
Dina naomba kwenye list ya watu wa aburodi nianze mie.... Nipo Namtumbo
Hapa nipo mwenyewe nikipotea ghafla usishangae kabisaHaha
Unajua ni kama wewe wiki zilizipita eeeh....
Kwani wewe utamuogeshaa na yapiiiMawota yapiii hayo ya ziwani au
Mr list alikua bado haijaingizwaHapana nyie katolewa mr list.
Hahahaaaaaa!! Mchangieni pesa zake alizounguza kabla hajajikisandu.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] anahakikisha huu uzi unafutwa haiwezekani kudhalilisha watu
Ahahhah hivi una ninii lakini umenikumbuka mwenyewe shunie mimiKwani wewe utamuogeshaa na yapiii
Kulaa kwanza matoke
[emoji13] [emoji13] poleCheck na huyu mambo ya kwingine anayaleta humu.
Kunywa soda auntieHizo akili mkoani hamna kabisa. Mkoani akili kubwa tu.