Wanaume/wanawake wa mkoani vs wanaume /wanawake wa dar

Wanaume/wanawake wa mkoani vs wanaume /wanawake wa dar

Ni udhalilishaji kufananisha watu wa dar na wamikoani,mtu anaamka break ya kwanza kwenye banda la nguruwe,hajakaa sawa kaingia migombani,dk kadhaa baadae utamuona anaswaga ng'ombe kwenda malishoni akitoka huko no kuoga no kupiga mswaki moja kwa moja utamkuta kwa bed,hapa mnatuonea sana sisi wanaume wa jiji la maraha,wenzao wengine wako huku hawataki kurudi porini.
Hahahahahahaa
 
Ni udhalilishaji kufananisha watu wa dar na wamikoani,mtu anaamka break ya kwanza kwenye banda la nguruwe,hajakaa sawa kaingia migombani,dk kadhaa baadae utamuona anaswaga ng'ombe kwenda malishoni akitoka huko no kuoga no kupiga mswaki moja kwa moja utamkuta kwa bed,hapa mnatuonea sana sisi wanaume wa jiji la maraha,wenzao wengine wako huku hawataki kurudi porini.
Woyooooooooo mambo ni dar
 
Back
Top Bottom