Wanaume wanaweza kushiriki vipi katika Kampeni za Kutokomeza Ukatili wa Kijinsia dhidi ya Wanawake na Wasichana?

Wanaume wanaweza kushiriki vipi katika Kampeni za Kutokomeza Ukatili wa Kijinsia dhidi ya Wanawake na Wasichana?

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
Nimekuwa nikiona Wanaume wakilalamika kwamba Masuala ya Ufeminia yamekuwa yakiwaacha nyuma kwa kutoa kipaumbele kwa Wanawake na Wasichana na kumsahau Mtoto wa Kiume

Mimi ningetamani kufahamu Wanaume wanaweza kushiriki vipi katika Kampeni za Kutokomeza Ukatili wa Kijinsia dhidi ya Wanawake na Wasichana tukianzia kwenye Nyumba zetu mpaka Jamii nzima

Kuna Wanaume nawaona Mtandaoni huku wanaona Ukatili dhidi ya Wanawake ni jambo la Haki wao kulifanya (Safari ni ndefu ya kuleta Mabadiliko)
 
Mimi huwa nafanya maongezi kuhusu ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto na familia yangu kwa muda tuliojitengea kuzungumzia kadhia hizo.
Mara nyingi huwa kipindi ambacho shule zinakuwa zimefungwa.
Wanaume tunapaswa kuanza kuzungumzia ukatili huu kuanzia ngazi za familia tukijikita kwenye madhara yake na jinsi ya kukabiliana na tatizo hili.
 
Nimekuwa nikiona Wanaume wakilalamika kwamba Masuala ya Ufeminia yamekuwa yakiwaacha nyuma kwa kutoa kipaumbele kwa Wanawake na Wasichana na kumsahau Mtoto wa Kiume

Mimi ningetamani kufahamu Wanaume wanaweza kushiriki vipi katika Kampeni za Kutokomeza Ukatili wa Kijinsia dhidi ya Wanawake na Wasichana tukianzia kwenye Nyumba zetu mpaka Jamii nzima

Kuna Wanaume nawaona Mtandaoni huku wanaona Ukatili dhidi ya Wanawake ni jambo la Haki wao kulifanya (Safari ni ndefu ya kuleta Mabadiliko)
Ni kuhakikisha wanaoa wanawake wengi
 
Nimekuwa nikiona Wanaume wakilalamika kwamba Masuala ya Ufeminia yamekuwa yakiwaacha nyuma kwa kutoa kipaumbele kwa Wanawake na Wasichana na kumsahau Mtoto wa Kiume

Mimi ningetamani kufahamu Wanaume wanaweza kushiriki vipi katika Kampeni za Kutokomeza Ukatili wa Kijinsia dhidi ya Wanawake na Wasichana tukianzia kwenye Nyumba zetu mpaka Jamii nzima

Kuna Wanaume nawaona Mtandaoni huku wanaona Ukatili dhidi ya Wanawake ni jambo la Haki wao kulifanya (Safari ni ndefu ya kuleta Mabadiliko)
Mkakat wowote wa kulinga ukatili/ gender equity and equality ukishibdwa kuwaweka wanaume kama sehem ya engages lazima uwe na negative side effect nyingi..

Ndo hii inayozalisha wanaume wanaopondea single mothers.
 
Naamini ili kuleta mabadiliko jinsia zote mbili lazima zipewe elimu ya kutosha dhidi ya ukatili wa kijinsia kwa maana baadhi ya Mila na tamaduni zinaonesha mwanaume ananguvu Sana katika maamuzi suala linalowafanya wanawake kuonekana wanyonge na kuona ukatili ni haki Yao kufanyiwa,Unakuta mwanaume anafanya vitendo vya kikatili akijiamini kabisa na kuamini ni haki yeye kumpiga mkewe sababu yeye ni mwanaume mke hawezi kumhoji suala lolote,watoto wetu wakifundishwa kuwapenda wake zao Kama mama zao pengine itasaidia kupunguza hivo vitendo.kwa mfano tunakuwa na slogani ya "Nitetee mke wako ni mama kwa mume ajae"
 
Wanawake hawafahamu kinacho waangamiza, :

1. Feminism;
Hapa mwanamke anaangami katika uringo wa kushindana kuwa kama mwanaume .
2. Uroho wa pesa;
Mwanamke kuacha mwanaume mpole eti hana utajiri mkuu , anaenda kuangukia kwa mabiliget ,kunauwezekano wa kutolewa kafa(_).
3.
 
ili kupinga ukatili wa wanawake na wasichana kwa mafanikio makubwa the top leader wa kampeni awe mwanaume . Huyu akiwasilisha madai ya kampeni anaeleweka na wanaume kama wahusika zaidi wa unyanya....... na akiwa mwanamke ataonekana ni walewale kwani hatataka kujua sababu haswa za kuwanyanyasa wanawake zaidi ya kupinga unyanyasaji wa wanawake ambao kwa jina jingine wanaitwa jinsia.
 
Back
Top Bottom