Wanaume wanzangu, pesa ndio itakufanya kupata mke yeyote unayemtaka na hata kuwa nao kumi

Wanaume wanzangu, pesa ndio itakufanya kupata mke yeyote unayemtaka na hata kuwa nao kumi

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Kuna muda mwengine tujikite kutafuta pesa jamani sisi wanaume.

Hata ukiwa mzee, mlemavu, sura mbaya ila pesa kama ipo basi ulimwengu huu kila mwanamke unayemtaka utampata.

Mambo ya kutongoza sana wakati kapuku yamekwisha.

pesa.jpg
 
Unatafuta mwanamke unayemtaka au atakaye kupenda na kukuheshimu katika hali zote.
Mwanamke akikupendea hela zikiisha then what next. All in all pesa ni muhimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo anayekutaka kwasababu ya hela lazima atamtafuta mwanaume mwingine anayempenda kutoka moyoni.Kwako atafuata pesa kule atafuata mapenzi.
 
Unatafuta mwanamke unayemtaka au atakaye kupenda na kukuheshimu katika hali zote.
Mwanamke akikupendea hela zikiisha then what next. All in all pesa ni muhimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Zinaishaje wakati ndo silaha yake

Ndo maana anasema tujikite kuzisaka

Mi naongezea tujikite kuwa na cash flow ya uhakika, itakayokufanya uwe nazo tu, yaan uwe nazo muda wote wa uhai wako
 
kuna mda mwengine tujikite kutafuta pesa jamani sisi wanaume.

hata ukiwa mzee ,mlemavu,sura mbaya ila pesa kama hipo basi ulimwengu huu kila mwanamke unayemtaka utampata.

mambo ya kutongoza sana wakati kapuku yamekwisha.
Mkuu,sema pesa itakuruhusu kula mwanamke unayemtaka ili sio kummiliki.Kumiliki mwanamke ni sanaa na kipaji kikubwa sana.Usione watu wanamiliki wanawake ukafikiri ni kazi rahisi au ni pesa
 
Huu ni upotofu wa fikra. Sasa tutafute pesa ili tugawe gawe hovyo?! Ndio maana MUNGU anafunga milango ya baraka kwa vijana wengi sababu anaona mara atakapoifungua na baraka zikamwagika basi mtatumia kipato kufanya ufuska na sio kuishi kwa mapenzi yake.


Mimi nilitegemea useme labda, wanaume tutafute pesa tufanyie service magari yetu, tuya upgrade na spare za kisasa au kuyapamba na kufunga mziki mzuri.
 
Huu ni upotofu wa fikra. Sasa tutafute pesa ili tugawe gawe hovyo?! Ndio maana MUNGU anafunga milango ya baraka kwa vijana wengi sababu anaona mara atakapoifungua na baraka zikamwagika basi mtatumia kipato kufanya ufuska na sio kuishi kwa mapenzi yake.


Mimi nilitegemea useme labda, wanaume tutafute pesa tufanyie service magari yetu, tuya upgrade na spare za kisasa au kuyapamba na kufunga mziki mzuri.
[emoji23][emoji23]
 
kuna mda mwengine tujikite kutafuta pesa jamani sisi wanaume.

hata ukiwa mzee ,mlemavu,sura mbaya ila pesa kama hipo basi ulimwengu huu kila mwanamke unayemtaka utampata.

mambo ya kutongoza sana wakati kapuku yamekwisha.
Kelele za kutafuta pesa zimekuwa too much! Tuambieni tujue.....kiwango stahiki ni sh. Ngapi au ni mali ipi umiliki na yepi hayatakukuta endapo utamiliki pesa/ mali kiasi hicho. Mmesikia nyie? Aah,mnachosha!
kuna mda mwengine tujikite kutafuta pesa jamani sisi wanaume.

hata ukiwa mzee ,mlemavu,sura mbaya ila pesa kama hipo basi ulimwengu huu kila mwanamke unayemtaka utampata.

mambo ya kutongoza sana wakati kapuku yamekwisha.
 
kuna mda mwengine tujikite kutafuta pesa jamani sisi wanaume.

hata ukiwa mzee ,mlemavu,sura mbaya ila pesa kama hipo basi ulimwengu huu kila mwanamke unayemtaka utampata.

mambo ya kutongoza sana wakati kapuku yamekwisha.
Ukweli mtupu.. hapa mademu wananisumbua kishenzi yaani sms simu za kutosha kila mmoja ananitaka nimpelekee moto.. tutafute pesa tuuu aah! kumbe ndoto
 
Kelele za kutafuta pesa zimekuwa too much! Tuambieni tujue.....kiwango stahiki ni sh. Ngapi au ni mali ipi umiliki na yepi hayatakukuta endapo utamiliki pesa/ mali kiasi hicho. Mmesikia nyie? Aah,mnachosha!
Banks uwe na cash walau 30 million +, kwenye mobile money zako kusiwe na kila moja na chini ya 6 million, uwe na Gari isiyopongua thamani ya 40 million, uwe na nyumba standard au kama umepanga pawe standard sana na furniture ziwe kiwango na gari uwe nazo kuanzia mbili kwenda juu
 
1; Mtangulize Mungu akuwezeshe kufungua macho yako na fikra zako uweze kumtambua na kumpata Mke sahihi wa maisha yako,Atakayekupenda na kukuheshimu katika hali zote za shida na raha.

2;Tafuta pesa kwa bidii uitunze na uilinde familia yako (pamoja na huyo mke wako),Saidia wazazi,ndugu jamaa na marafiki wenye uhitaji,Tafuta pesa zaidi jenga heshima katika jamii kwa kujitoa katika kusaidia jamii yako kwa hali na mali katika kuleta mabadiliko chanya,Ili hata utakapokufa hakika utaacha alama katika jamii yako.

3; Zingatia 1 & 2
 
Zinaishaje wakati ndo silaha yake

Ndo maana anasema tujikite kuzisaka

Mi naongezea tujikite kuwa na cash flow ya uhakika, itakayokufanya uwe nazo tu, yaan uwe nazo muda wote wa uhai wako
Na wote tuseme ameeen!
 
Back
Top Bottom